Wana kanga Fulani wanaziita za kushindia....Ni chafu hatari.
Umempata anavaa vimini/suruali, anafika kwako anaanza kuvaa kanga za kushindia na migauni mirefu kiasi cha kwamba huna haja ya kusafisha sakafu...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.