Sio kwel maplayer wengi ndo wanaojiamin na wauza sura, wanaume ambao ni smart wako bize na maisha na wengi hawajiamin Kwa wasichana
Na bahati nzuri wanaojiamini pia pesa wanazo au kama hawana basi ziko njiani kumtembelea.
Unao uzoefu au nizakuambiwaUkiwa Huna hela huwezi kujiamini, wanawake wote wenye mali na madaraka hatataka kukaa na mume asienacho wakikaa na wewe utaosha sana vyombo na manyanyaso mengine mengi sana..Utapoteza hadhi yako ya mbingu kama mwanaume..
Kwani sisi tumeongelea kujiamini kwa wanawake🙆🙆🙆S
Sio kwel maplayer wengi ndo wanaojiamin na wauza sura, wanaume ambao ni smart wako bize na maisha na wengi hawajiamin Kwa wasichana
Hata sie kina mwajuma ndalandefu tunapenda wanaume wanaojiamini, huku kwenye pesa inatokea tu teh
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani wewe siku ukiishiwa pesa utakufwaPesa Kwanza mengine yote utazidishiwa.
haya we unadhani waloishiwa walipenda, ni vema ukajua kuwa kuna maisha nje ya pesaLabda waache kuchapisha
haya we unadhani waloishiwa walipenda, ni vema ukajua kuwa kuna maisha nje ya pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
All the best. Nakuombea hivyo piaWapo pia ambao hawakuishiwa I aspire to be one.
Rejea tu Kichwa cha Habari hapo juu kisha anza zako tu Kutiririka na Kuserereka katika Utoaji wa ' Madini ' yako.
Nawasilisha.
Naona umeamua kutuonyesha Uzoefu wako mkubwa wa ' Kunyanyasika ' kutoka kwa hao Wanawake Mkuu. Pole sana kwa Kuosha Vyombo na Kunyanyasika.
khantwe unajua na unajiamini, Tanzania wanawake kama wewe ni wachache. You are diva100%
khantwe unajua na unajiamini, Tanzania wanawake kama wewe ni wachache. You are diva100%
nakukubali sana mkuuRejea tu Kichwa cha Habari hapo juu kisha anza zako tu Kutiririka na Kuserereka katika Utoaji wa ' Madini ' yako.
Nawasilisha.
This one i agree with it. Mwanamke kwanza aoneshe kuwa anakukubali haswa ile kwamba we ndio mjanja wake automatically unakuwa unajiamini sana ila ukipata mwanamke ambaye sometimes anaekukejeli flani au kupenda kuku compare na watu wengine lazma confidence ishuke tu.Hilo ni tatizo tu la kisaikolojia, ukipata mwanamke anayekukubali utajiamini
Sent using Jamii Forums mobile app