Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
- Thread starter
- #41
Mara nying na ni kitu kipo waz nyumba ndogo zinajua kulea inavyotakiwa baathi ya wanawake walio kwenye ndo wanajisahau sana hususa kuwatunza waume zao. So mbayq ukipata wakukusaidia .alwyz mke mdogo ni mzuri kuliko mkubwa .nimawazo yngu
Nyumba ndogo anatofauti gani na mke mkubwa unaamini treatment unazozifanya kwenye nyumba ndogo kupiga simu,kufanya shoping muda wote,kutoka naye out,kumuandaa kwenye tendo la uzinzi, kumpeleka salooon,kumtafutia kazi au kumsomesha ukimfanyia nyumba kubwa utakosa upendo