Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

hivi huu utandawazi, kila kijacho katika hili jina lazima tuige?? upumbafu huu na uvunjifu wa maadili tu!!! na nyie wanaume ndo wenyewe kwanza kwenye hili suala la kuataka ngono kinyume na maumbile!!!
 
kwanini wasichana wengi sikuhizi wanapenda kuingiliwa kinyume namaumbile? Naomba mawazo yenu wana JF

Utafiti ulifanya lini na wapi.....,sample space? Hebu nipatie rejeo nami niweze toa maoni yangu. Au umezungumza kulingana na UJUZI wako...?!
 
Dunia imekwisha, wanawake siku hizi ndiyo wanaongoza kwa kufanya vitendo vya kihuni sijui kama wanajua au la. Wengine wanaahidiwa ndoa kwa kutolewa tigo kwanza. hivi kuna wanaume wajinga kiasi hicho anaweza kubali mkewe akaadhirike labor ward kwa kufanyiwa huo uhuni.

Tuombe Mungu tunakoelekea wanawake ni kubaya zaidi kuliko ilivyo.
 
Dunia imekwisha, wanawake siku hizi ndiyo wanaongoza kwa kufanya vitendo vya kihuni sijui kama wanajua au la. Wengine wanaahidiwa ndoa kwa kutolewa tigo kwanza. hivi kuna wanaume wajinga kiasi hicho anaweza kubali mkewe akaadhirike labor ward kwa kufanyiwa huo uhuni.

Tuombe Mungu tunakoelekea wanawake ni kubaya zaidi kuliko ilivyo.

wanawake wanafanya hayo na nani???????
 
PakaJimmy
he he,mkuu umeniacha hoi,hao kinadada hawafai kabisa hapo kazini,yaani badala ya kufanya kazi wanangalia huo upuuzi mchana kweupee tena ofisini??what a shame?cnt believe that
 
Sio wanawake wote wanaoingiliwa kinyume cha maumbile ni victims wa sexual abuse. Kuna wengine wanapenda...... wanaomba wafanyiwe hivyo.

Ili kukomesha hii tabia, inabidi na wanaume wakatae kata kata wanapoombwa na wanawake zao wawaingilie kinyume na maumbile, hata kama wanawapenda sana hao wanawake.
 
Sio wanawake wote wanaoingiliwa kinyume cha maumbile ni victims wa sexual abuse. Kuna wengine wanapenda...... wanaomba wafanyiwe hivyo.

Ili kukomesha hii tabia, inabidi na wanaume wakatae kata kata wanapoombwa na wanawake zao wawaingilie kinyume na maumbile, hata kama wanawapenda sana hao wanawake.

Mkuu, kumbuka kwamba hata kama wanakuja kupenda tIGO badae, huwa wanaanza bila kupenda, its an abuse, kumbuka hata vijana wengi wa kiume huwa wanaanza wakiwa wadogo na baae wanazoea

Hata hao wanaoomba, nakumbuka kuna kesi moja binti wa 19 alimuuliza jamaa kama huwa anakula tIGO... mshikaji akauliza ulianzia wapi.. akasimulia kwamba alianza akiwa na 9 years na ameshazoea, bila hiyo kitu ha-enjoy tena; lakini huwa anajisikia vibaya akishafanya
 
Mkuu, kumbuka kwamba hata kama wanakuja kupenda tIGO badae, huwa wanaanza bila kupenda, its an abuse, kumbuka hata vijana wengi wa kiume huwa wanaanza wakiwa wadogo na baae wanazoea

Hata hao wanaoomba, nakumbuka kuna kesi moja binti wa 19 alimuuliza jamaa kama huwa anakula tIGO... mshikaji akauliza ulianzia wapi.. akasimulia kwamba alianza akiwa na 9 years na ameshazoea, bila hiyo kitu ha-enjoy tena; lakini huwa anajisikia vibaya akishafanya

Kama kila kitu kina mwanzo, hata hao wanaume walianza kufanya huo mchezo, hawakuzaliwa wanaujua na kuupenda...inawezekana kabisa wengine wameanza kwa kulazimisha na wanawake zao wawaingilie kinyume na maumbile.

Imagine huyo kijana uliyemdescribe hapo juu hakuwahi kufanya hiyo kitu, ila alilazimika kufanya baada ya kuona demu anataka.

Vicious circle, anhhh.
 
Jamani kumbukeni sodoma na gomora, wale wanaume walipokuwa wanaona wanaume wenzao wageni walitaka kuvunja milango ili tu waweze kutembea nao kinyume cha maumbile, a.k. kula TIGO na hata walipoambiwa wapewe mabinti vigori bado walisisitiza kutaka tigo tu!!, sasa ujue hilijambo lina historia ya kipekee hata kwenye bible, kwa waumini wa dini tunasema huenda zile nyakati za watu kutaka tigo hata kusahau maumbile halali ndo unafika ukiashiria siku za mwisho.

Kwa mtazamo huu nahisi ukishaonja tigo huachi ng'o lazima ina utamu wa pekee compared to huko kulikohalalishwa. but al in al ni kweli watu waelimishwe, waache huu mchezo si mzuri kiafya na pia dini zinaukemea sana mtindo huu Mungu ameuita ni dhambi kubwa, watu wote wanawake na wanaume waweze kujirekebisha
 
ila pia nijuavyo kwa wasichana hasa wadogo, wanaogopa kupata mimba, wanajaribu kutunza bikra zao, na wakati mwingine wanafanya hayo ili kuwashika vizuri hao mabwana ili kila wakikumbuka utamu wa tigo wanawakatia pochi nene! na ikibidi ka gari ka kutembelea hapa mjini vile vidogovidogo hata kijijini taabu kufika!!!
 
Jamani kumbukeni sodoma na gomora, wale wanaume walipokuwa wanaona wanaume wenzao wageni walitaka kuvunja milango ili tu waweze kutembea nao kinyume cha maumbile, a.k. kula TIGO na hata walipoambiwa wapewe mabinti vigori bado walisisitiza kutaka tigo tu!!, sasa ujue hilijambo lina historia ya kipekee hata kwenye bible, kwa waumini wa dini tunasema huenda zile nyakati za watu kutaka tigo hata kusahau maumbile halali ndo unafika ukiashiria siku za mwisho.

Kwa mtazamo huu nahisi ukishaonja tigo huachi ng'o lazima ina utamu wa pekee compared to huko kulikohalalishwa. but al in al ni kweli watu waelimishwe, waache huu mchezo si mzuri kiafya na pia dini zinaukemea sana mtindo huu Mungu ameuita ni dhambi kubwa, watu wote wanawake na wanaume waweze kujirekebisha

Asante kwa kutukumbusha hili, haya mambo siyo ya leo wala jana!!! na siajabu hali imeboreka siku hizi
 
Jamani, kila mtu ajua wapi akunwe ili apate raha. The end point hapa sio kuhukumiana, sex is so diverse a subject kiasi kwamba hata maana ya mwanamke/mwanamme mpaka sasa haijulikani ni kipi kinathibitisha: je ni maumbile (uchi) au ni tabia?

Maana kama umefuatilia sana kuhusu swala kla Semenya yule mpiga mbio wa Africa Kusini, utagundua kuwa majaji wangeshindwa kuprove kama ni mwanamke au mwanamme. Kwani ili mtu aitwe Mwanamke au Mwanamme, ni swala la majadiliano, na ni lazima muweke vigezo vya kupima ili mtu akifikia hivyo ndo aitwe mume au mke. Waliotuanzishia hizi dini tunazoziita takatifu ndo hao sasa wameanza taratibu kukubali kuwa mashoga na ushoga si dhambi.

Kwa hiyo tusikimbilie kulaani na kusema huu ndo mwishao wa dunia, ufirauni ulikuwepo tangu zama za Ibrahim! Hapa turudi na tujadili ukweli kuhusu swali haopo juu: Je kuna raha gani kupenda hivyo?

Waliojaribu wamwage uzoefu wao hapa ili tujue. Ila naamini ni kamchezo kanako adict vibaya, kwani nasikia ukioa mwanamke mtoa tigo, na we si mla tigo , ujue hutakaa umridhishe hata mara moja: hesabu hasara. Hivyo leteni ukweli, je kuna kaladha tofauti huko?
 
Kama kila kitu kina mwanzo, hata hao wanaume walianza kufanya huo mchezo, hawakuzaliwa wanaujua na kuupenda...inawezekana kabisa wengine wameanza kwa kulazimisha na wanawake zao wawaingilie kinyume na maumbile.

Imagine huyo kijana uliyemdescribe hapo juu hakuwahi kufanya hiyo kitu, ila alilazimika kufanya baada ya kuona demu anataka.

Vicious circle, anhhh.

Wengine wanataka kujaribu tu na wao waone kulikoni katika tendo hilo. Wengine wanalifurahia basi linakuwa ni moja ya starehe zao na wengine wasiopenda wanaachana nalo. Ni kama vile kuvuta sigara au kunywa pombe baadhi wanajaribisha wanapenda na kuendelea kuvuta na kunywa na wengine wanaona hawapendi hivyo kuamua kuachana na kinywaji na sigara pia.
 
ila pia nijuavyo kwa wasichana hasa wadogo, wanaogopa kupata mimba, wanajaribu kutunza bikra zao, na wakati mwingine wanafanya hayo ili kuwashika vizuri hao mabwana ili kila wakikumbuka utamu wa tigo wanawakatia pochi nene! na ikibidi ka gari ka kutembelea hapa mjini vile vidogovidogo hata kijijini taabu kufika!!!
Kwani Tigo ni tamu eeh?
 
Kitendo cha kuingiliana kinyume cha maumbile ni DHAMBI YA MAUTI (Mortal sin) ambayo haisameheki kwa Mungu. Ukitaka kutambua kwamba kitendo hicho ni kichafu angalia hata wanyama hawafanyi ujinga huo. Ni laana kubwa sana kuingiliana kinyume cha maumbile. Ole wenu nyie wote mnaoendekeza mchezo huo mchafu!
 
Back
Top Bottom