Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
Salaam! Kama ilivyo ada natumai ni wazima wote. Ngoja niende direct kwenye swali, ni kwa nini wasichana wengi siku hizi ni single mothers?
Je, kwa kuwa wanawake wengi hawataki kutoka kimapenzi na wanaume wasio na mbwembwe, majivuno, waongo, masharobaro, wale wa show offs n.k? Nafikiri tunafahamu kuwa wanaume wengi wa hivi ni waongo.
Na je, kwa nini wasichana wengi wakati wakiwa bado 'moto' huwakataa na kuwakejeli hawa wanaume wastaarabu, wapole, wanaojiheshimu n.k, na kuwakubali hao kundi la kwanza, halafu wakishazalishwa huanza kuwasumbua bila huruma na kuwaletea mizigo ya watoto wasio wao ili walelewe?
Je, hii inaweza kuwa sababu?
Nini kifanyike?
Nawasilisha!
Je, kwa kuwa wanawake wengi hawataki kutoka kimapenzi na wanaume wasio na mbwembwe, majivuno, waongo, masharobaro, wale wa show offs n.k? Nafikiri tunafahamu kuwa wanaume wengi wa hivi ni waongo.
Na je, kwa nini wasichana wengi wakati wakiwa bado 'moto' huwakataa na kuwakejeli hawa wanaume wastaarabu, wapole, wanaojiheshimu n.k, na kuwakubali hao kundi la kwanza, halafu wakishazalishwa huanza kuwasumbua bila huruma na kuwaletea mizigo ya watoto wasio wao ili walelewe?
Je, hii inaweza kuwa sababu?
Nini kifanyike?
Nawasilisha!