Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,819
- Thread starter
- #61
huyu hapa jamani amegundulika anajiuza juliana!F*ck you bi.tch
huyu hapa jamani amegundulika anajiuza juliana!F*ck you bi.tch
una risiti ya haya maneno yako?Ukute ni mgongaji mzuri tu Wa k vant na hard drinks,kakujibu akiwa tungi.
ivo ee?Huyo mwenye pub,amelionea jina Juliana kuiita pub.hili jina linaheshima Sana,kwanza halina makandokqndo,Kuna uzii fulani ulipita humu wa majina ya wanawake machepele,nilikuwa napitia mapendekezo ya watu,lakini sikuona jina la Juliana likihusika kwenye thread.big up kwa akina Juliana.
abeee bossMANEPENI.
Tena hiyo ya kudanga ndo hatutaki muifanye kabisa.si nyie mmesema wakina mama tusifanye kazi au?
Amina mchungajiHili la wanawake kudanga limekus too much Hadi linaonekana Isha kuwa kawaida sasa.
Kuna thread ililetwa humu na wadau wakatuma link za groups za telegram aisee nikadandia link moja ikanipeleka huko.
Nilicho kikuta hakuna haja ya kuchunga wanawake tuwaache tu maana hata sheria zinawabeba.jaman vijana wa wanaume tuwagundishe vijana wa kiume wadogo kuwa maisha ni pesa na tuwaambukize hiyo spirit na waelewe kweli inatakiwa watafute pesa.
Maana pesa hazita waangusha na zitawapa mwanamke wanae muhiyaji kwa wakati anao taka na mahala popote pale duniani.
Hizi nguvu wanazo zitumia kukimbizana na Hawa wanaeake ni nyingi Sana na wanazitumia vibaya inatakiwa hizi nguvu na maarifa wanayo tumia kwa wanawake watumie kutafuta pesa.
Nisiwe mchoyo wa mambo hata Mimi binafsi katika pitapita huko telegram nikajiokotea bonge la mrembo lipo sinza. nikisema mrembo jua namaanisha piss Kali tako Kama lote akijamba asubuhi harufu unaisikia mchana. Hips ,sura,kiuno chembamba sauti we acha tu nikajizimulia viwili nikalipia elfu 30 japo alinianza na elfu 80 .....nyie wanawake ukiwa na hela ni bidhaa Kama unavyo taka kwenda kununua vocha na wanawake ni hivyo hivyo ......Vijana tujijenge kimaisha Hawa wanawake utakula Sana
chijui!Wanadanga na wanawake wenzao sio !!
una risiti ya haya maneno umeandika au unanitafuta ubaya?Pia unaweza kuta ana stress za kudaiwa Kodi ya Nyumba! Watu Kama hao huwa nawaapuuza tu maana ugumu wa Maisha yake hasira zote anamaliza kwa Wanaume,kisa kuna Mwanaume alimuhaidi kumlipia Kodi,baada ya Msela kula Mzigo,akasepa mazima bila hata kumuachia pesa ya Kodi!!
ivo ee? avatar umeielewa sana sio?Dah akikusikia!,uzuri wake haingiagi humu Mara kwa Mara,ana kauli chefuchefu hiyo.we cheki hiyo avatar uake anajihudumia hapo.anajipiga selfie.
doh! hayaTena hiyo ya kudanga ndo hatutaki muifanye kabisa.
Vikoba vinatufanya tunatafuniwa wake zetu sana daah inauma mno ila UHALISIA hutamalaki....wwoyooooo vikoba oyeee
na wengine wako huku hawajui wanatafuniwa!Vikoba vinatufanya tunatafuniwa wake zetu sana daah inauma mno ila UHALISIA hutamalaki....
Mbaya zaidi ni kuwa kila mwanaume haamini kuwa mkewe anatafunwa....🤣🤣
Sijakuona kitambo humu sweet, kwani mpaka nikadhani shost kaenda M/leave,kwema lakini?ni kukumiss nayoo.una risiti ya haya maneno yako?
kuna jambo nimekuitia inox kangalieSijakuona kitambo humu sweet, kwani mpaka nikadhani shost kaenda M/leave,kwema lakini?ni kukumiss nayoo.
Dah roho imelipuka paaah,yani mke anauma jamani dah.na wengine wako huku hawajui wanatafuniwa!
Poakuna jambo nimekuitia inox kangalie
kweli kabisa shemeji!Dah roho imelipuka paaah,yani mke anauma jamani dah.
Ngoja nitoke kanisani Niko na wife hapa,ye anadhani nasoma biblia kwenye simu kumbe Niko jf.kuna jambo nimekuitia inox kangalie
Wangu waniachie Mimi bana,nimemtoa mbali afu waje wanitafunie mbona Mimi siwatafunii.kweli kabisa shemeji!
Nimeipenda,big upkuna jambo nimekuitia inox kangalie