Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Afu we siku hizi mbona hunipendi kama zamani? Nshaanza mazoezi six pax zishaanza kuibuka........ KARIBU.we babu Aspirin wewe! Umeuexagerate mtambi wako hvo ndo nini? Mtambi! Mechekaje!
Afu we siku hizi mbona hunipendi kama zamani? Nshaanza mazoezi six pax zishaanza kuibuka........ KARIBU.we babu Aspirin wewe! Umeuexagerate mtambi wako hvo ndo nini? Mtambi! Mechekaje!
kwa Africa wanaume wenye vitambi ndo wanapendwa coz wanawake wengi ukiwa na ndambi wanadhani unazo, hayo ya vifua yameanza juzi tu baada ya tv kuingia bongo na watoto wa shule kuanza kushobokea series na kuiga kila kitu
Wenye vifua vikubwa warefu thn wenye miili yao akikukumbatia unajiskia raha kama mtoto vle
Kifua kina raha yake bana lakini kisiwe too much, afu ukute mwanaume mrefu then anajua kudekeza acha kabisa unaweza kujikuta umeshiba hata kabla ya kula lol!
si ajabu kashachafuka.. naipenda coment yake short and clear na additinal point kabisa yaelekea ni katamu sana.jokeUmeongea kwa hisia kabisa...
Wanawake watanipa jibu..kwanini huwa mnavutiwa na wanaume wenye vifua vikubwa,Misuli misuli.
Je hao ndo wako fiti kila idara au ni mtazamo wenu kwa mahitaji yenu.
Kwani Zudeda wewe sio mwanamke?
kifua ni dalili ya kwanza tu ya kuvutia, ila cha muhimu bana ni mkenge unaoridhisha, kifua kitakupembeleza ila hakikuridhishi. Sasa kama una lijifua na kamzee ni kakenge kadunchu utakimbiwa baada ya muda mfupi coz sisi wanawake tunasema unakua na desired qualifications ya kuvutia ila huna added advantages. Na unajua added advatages ndo huwa inampa mtu kazi bana. Kwa hiyo msiogope nyie mlie na vifua vya ndege ila mna mbio za ndege kipanga.
mimi kidume bhanaaaa zubedayo....my wife ni miss arabela humjui...muulize ruta
thanks
samahani kwa kuchanganya mambo