Heart
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 2,673
- 1,704
Weka pichaaaaaa
Picha ya ma.ta.ko au?! Hebu uko
Weka pichaaaaaa
asante heri nawe natumaini umepokea salama
tunaendelea kupambanisha kufunga na kufungua macho
nimeupokea salama kabisa dadaangu!
umeulia wapi huu mwaka?
me nafungua macho nione anavyokunja uso ili nicheke huwa nikichekesho ha ha ha ha
ndo maana nataka mazoezi nisije haribu mambo..... kwa sababu sijajaliwa miguno
Maana ya fedheha ni nini?
Hata akifanywa na mmewe ni fedheha?
Miss Chaga unanifurahisha! Sasa umejaliwa nini? Kiuno ulisema huwezi kukata, miguno huwezi, macho unakodoa. Yaani kama nakuona!
aaaha, nyie mbona mnajulikana! Mko kibussiness zaidi kujituma kwa bed hamuwezi na si ajabu ukawa unavuta fegi huku unasoma novel wakati mwenzio anakushughurikia. Sikushangai chagga line!!
GUmilapua
CHAGA LINE WAMEINGIAJE WAMEKULIPUA NINI