pangakali 2
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 238
- 220
Habari ya uzima wadau. Mara kadhaa nimekuwa nikikutana na wanawake/mabinti wakilalamikia hali ya kuwa na tumbo kubwa ambalo limekuwa ni changamoto sana kwa wadada wengi.
Swali langu. Je, nini madhara ya kuwa na vitambi kwa wadada? Na kwa wenye uzoefu nini tofauti ya utendaji kitandani kwa wenye vitambi na wasionavyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali langu. Je, nini madhara ya kuwa na vitambi kwa wadada? Na kwa wenye uzoefu nini tofauti ya utendaji kitandani kwa wenye vitambi na wasionavyo?
Sent using Jamii Forums mobile app