beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mkoa wa Kilimanjaro umetajwa kuongoza kwa kuwa na wanawake wanene na wenye viribatumbo nchini, Dar imeshika nafasi ya pili, Mkurugenzi wa taasisi ya chakula na lishe Tanzania Dk Germana Leyna amesema.
Sababu hasa zinazopelekea matatizo hayo, Ni kutozingatia lishe bora na mazoezi.
Sababu hasa zinazopelekea matatizo hayo, Ni kutozingatia lishe bora na mazoezi.