mapengo junior
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,137
- 275
wangu makelele kibao mpaka nahisi naibiwa
aisee! chuo chenu kipo wapi mnifundishe mimi,afu mimi nimfundishe my wife wangu,na ada ni sh. ngapi? na vitendea kazi ni vipi?
Majibu fatadhari.
heheh wapo wengine noma ukilegea wanakata nanihi
Teheee raha utulie na usikilizie sana sana urembue...!hivi, ukiwa unakuna sikio na cotton bug, raha uchezeshe chezeshe kichwa au utulie kama unanyolewa usikilizie??
Hii nayo iwe roketi sayansi??
Makubwa!Jamani wana Jf hivi ni kwa nini kina dada wengi hawapendi kutoa ushirikiano kwenye tendo la ndoa wanakuwa wanalala tu wanakuacha mwanaume uhangaike kwa kila kitu..!!?.
Weee! acha tu wengine kama kisiki cha mpingo hata upige shoka vipi hubandui kitu.
Jamani wana Jf hivi ni kwa nini kina dada wengi hawapendi kutoa ushirikiano kwenye tendo la ndoa wanakuwa wanalala tu wanakuacha mwanaume uhangaike kwa kila kitu..!!?.
ndio wazuri hao.....wanaokata mauno kwa fujo na makelele ni malaya.
Luna wanake wavivu balsa. Ukimgusa ndio Mwanza anakwambia nimechoka, meshing nimebanwa na kichomi, meshing kutwa Micheal kinaniuma. Hivi ukichepuka Luna lawama keeling..?