KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
Jamani wana Jf hivi ni kwa nini kina dada wengi hawapendi kutoa ushirikiano kwenye tendo la ndoa wanakuwa wanalala tu wanakuacha mwanaume uhangaike kwa kila kitu..!!?.
Umewahi kuwauliza kwa nini wanakufanyia hivyo?
Umewasaidiaje ili wasikuache ukahangaika mwenyewe?
Umeshawah kuwaongoza au hata kuonyesha kwa vitendo nini wakufanyie?
Umeshawah hata kuwadokeza your likes na dislikes plus unapenda kufanyiwa nini kunako 6 by 6?
All in all pole sana, huna bahati. Maana hao wengi hujabahatisha hata mmoja.