Shebbydo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,174
- 1,937
Habari wanabodi,
Ni matumaini yangu kuwa mu wazima bukheri wa afya.
Katika pitapita yangu hapa JF, nimekutana na uzi mmoja wenye kichwa "tupia hapa picha ya demu mkali". Katika mantiki ya kawaida unaweza kuuita huu uzi hauna maana sana, lakini mimi katika kutafakari ya maana nzuri inayoweza kupatikana katika maudhui ya ndani, nikapata wazo. Hebu niingie ndani nione wachangiaji katika uzi huu watakuwa wamemaanisha nini kuhusu uzuri wa mtu. Nikaamua kupitia picha karibia zote.
Katika mambo niliyoyaona hasa katika jicho la kisaikolojia, ni tofauti ya kisaikolojia kati ya wanawake wanaosemekana ni wazuri na wale wa kawaida. Ninatumia neno " wanaosemekana" kwa sababu uzuri wa kitu upo machoni mwa mwenye kukiona. Tofauti hii inakuja baada ya kuona karibia 100% ya picha zote nilizoziona ni za nusu uchi na wanawake waliopiga picha hizo karibia 100% ni hao wanaosemekana ni wazuri.
Mimi nimebaki na maswali yasiyokuwa na majibu. Nayo ni haya:
1: Je, hawa wanawake wazuri hupiga picha hizo za utupu ili kuuwaaminisha ulimwengu kuwa wao ni wazuri?
2: Je, wanawake hawa wanaoamini kuwa wao ni wazuri huwa wanamlenga nani aone maumbile yao hayo mazuri? Je, walengwa ni sisi wanaume au ni kuwakoga wanawake wenzao? Na kama ni sisi wanaume ni kwa faida gani? Au ili watutie majaribuni?
3: Je, si kwamba hawa wadada wana matatizo ya kisaikolojia? Hasa superiority complex?
Hili la tatu hasa kwa mtazamo wangu ndilo tatizo kubwa linalowasumbua. Wanajiweka wazi ili kuonesha wao ni superio kimaumbile. Wale wa kawaida hawana muda wa kujifunua miili yao kwa sababu wao wameridhika na hali zao. Wadada mnaosemekana ni wazuri, tafakarini matendo hayo. Msiwe ni mawakala wa kuuwaangamiza ulimwengu. Maumbo yenu ni "silaha za maangamizi" kwa wanaume. Nyinyi ndiyo mnaweza kuongeza ama kupunguza idadi ya vijana wanaofanya "masturbation" kupitia picha zenu.
Ni matumaini yangu kuwa mu wazima bukheri wa afya.
Katika pitapita yangu hapa JF, nimekutana na uzi mmoja wenye kichwa "tupia hapa picha ya demu mkali". Katika mantiki ya kawaida unaweza kuuita huu uzi hauna maana sana, lakini mimi katika kutafakari ya maana nzuri inayoweza kupatikana katika maudhui ya ndani, nikapata wazo. Hebu niingie ndani nione wachangiaji katika uzi huu watakuwa wamemaanisha nini kuhusu uzuri wa mtu. Nikaamua kupitia picha karibia zote.
Katika mambo niliyoyaona hasa katika jicho la kisaikolojia, ni tofauti ya kisaikolojia kati ya wanawake wanaosemekana ni wazuri na wale wa kawaida. Ninatumia neno " wanaosemekana" kwa sababu uzuri wa kitu upo machoni mwa mwenye kukiona. Tofauti hii inakuja baada ya kuona karibia 100% ya picha zote nilizoziona ni za nusu uchi na wanawake waliopiga picha hizo karibia 100% ni hao wanaosemekana ni wazuri.
Mimi nimebaki na maswali yasiyokuwa na majibu. Nayo ni haya:
1: Je, hawa wanawake wazuri hupiga picha hizo za utupu ili kuuwaaminisha ulimwengu kuwa wao ni wazuri?
2: Je, wanawake hawa wanaoamini kuwa wao ni wazuri huwa wanamlenga nani aone maumbile yao hayo mazuri? Je, walengwa ni sisi wanaume au ni kuwakoga wanawake wenzao? Na kama ni sisi wanaume ni kwa faida gani? Au ili watutie majaribuni?
3: Je, si kwamba hawa wadada wana matatizo ya kisaikolojia? Hasa superiority complex?
Hili la tatu hasa kwa mtazamo wangu ndilo tatizo kubwa linalowasumbua. Wanajiweka wazi ili kuonesha wao ni superio kimaumbile. Wale wa kawaida hawana muda wa kujifunua miili yao kwa sababu wao wameridhika na hali zao. Wadada mnaosemekana ni wazuri, tafakarini matendo hayo. Msiwe ni mawakala wa kuuwaangamiza ulimwengu. Maumbo yenu ni "silaha za maangamizi" kwa wanaume. Nyinyi ndiyo mnaweza kuongeza ama kupunguza idadi ya vijana wanaofanya "masturbation" kupitia picha zenu.