Qassim14
Senior Member
- Oct 10, 2017
- 182
- 202
Salaam ziwafikie wote na amani ya muumba itulinde hadi siku inaisha salama,
Kama kichwa kilivyotangualia kuelezea,
Mada ni kwanini wanawake wanaofanya kazi kwenye mabar ama mahotel makubwa ama nyumba za wageni wanaonekana ni watu wenye asilimia nyingi za ongezeko la pepo la ngono ama biashara ya ngono?
Kwani zile si kazi kama zilivyo nyingine?
Mrazamo wangu na ushauri usimchukulie mtu kwa namna unamuona tu kwa macho.
Nawasilisha kilio hiki, mtazamo wenu wakuu
Kama kichwa kilivyotangualia kuelezea,
Mada ni kwanini wanawake wanaofanya kazi kwenye mabar ama mahotel makubwa ama nyumba za wageni wanaonekana ni watu wenye asilimia nyingi za ongezeko la pepo la ngono ama biashara ya ngono?
Kwani zile si kazi kama zilivyo nyingine?
Mrazamo wangu na ushauri usimchukulie mtu kwa namna unamuona tu kwa macho.
Nawasilisha kilio hiki, mtazamo wenu wakuu