Kwanini Wanawake wanakuwa wavivu kimapenzi katika Ndoa?

Hii ishu haina jibu moja...maana mwanadamu ni kiumbe dynamic..kila mara hubadilika..hutaka mambo tofauti.Kwa kifupi mwanadamu haridhiki.Ukimpa jua, atataka mvua.Ukijipamba umridhishe, atataka asiyejipamba - aliye "natural".Ukimpa attention sana, bado atalalamika kuwa unamnyima pumzi.Mradi tu atatafuta sababu kuonja nyasi zilizopo nje ya uzio/wigo.Matatizo yapo kote kote kama alivyosema BAK:
Kwa maoni yangu matatizo ya ndoa yanayosababishwa na uvivu wa mapenzi yako pande zote mbili. .
Kama ni visingizio, hata wanaume wapo wenye visingizio.Kuna bwana mmoja alienda kumwomba daktari wake amwandikie kuwa haruhusiwi kufanya tendo kwa mwezi mzima.Kisa hakuwa tu kwenye mood na mkewe. Visingizio hutolewa na pande zote vikiwa na maana fulani kama alivyosema Pretty hapa chini:

Ukiona mkeo mvivu wa mapenzi ujue tatizo liko kwako mume, kama mtu humfurahishi kimapenzi au unamwacha njiani humfikishi kwenye kilele lazima ataona kufanya mapenzi ni karaha na kuanza visababu kama hivyo mara nimechoka au sijisikii vizuri leo ilimradi tu atoe sababu.
katika huo utafiti wako jaribu kutafuta sababu ni nn haswa cha kufanya wanawake kutoa visingizio vya uchovu.
Maisha tunayoishi miaka ya sasa, yana msongo ( stressful) na hii huathiri ndoa.Watu wanachoka kuliko kawaida, wana mawazo ya kukimbiza shilingi ambayo haikamatiki, na hapo hapo kwa wanawake, majukumu ni mengi mno kiasi kwamba wanapofika nyumbani hawapumziki vya kutosha.

At least enzi hizo baba alikuwa anapumzika jioni kwani ametoka kutafuta lakini sasa tamaduni zimegongana wanatafuta wote lakini bado kuna ile ya zamani haijaisha kwenye system baba mtafutaji mama mleaji. Hivi kweli going forward solution ni nini? Au hii generation ya wanawake ndio wasacrifice for the future? Labda ni mwanzo wa kuwalea watoto wetu in such a way watakapokuwa na familia zao haitakuwa hivi ilivyo sasa
Siyo sahihi kusema ati wanawake wakishaolewa inakuwa basi.Fidel anazungumzia mambo yalivyokuwa kabla ya ndoa na baada:

wanawake wakisha olewa basi wanakuwa hawajitumi kama ulikuwa unapewa TG kipindi cha uchumba ukisha funga nae ndoa na akazaa hilo swala sahau kama ulikuwa unapewa kila aina ya style kama mama nzawisa sasa sahau utakuwa wewe na yeye kifo cha mende tu kisa kachoka, umri n.k

Huwezi kutegemea hali ibaki vilevile... uchumba na ndoa ni tofauti.Mabadiliko haya si kwa wanawake tu hata wanaume hubadilika pia.Enzi za uchumba kulikuwa na kuitwa darling, sweetie, honey kwa saana! Sasa imebakia " mama fulani". Hivyo ni vema kuwa na mazungumzo zaidi na kuendelea kuchochea moto wa mapenzi yenu badala ya kufikiri ni automatic tu kuwa mambo yatabakia yalivyokuwa mwanzo.
Tukumbuke kuwa kukimbia tatizo si suluhisho.Utaenda kwa kimada na baadae mambo yatakuwa yale yale!!!Kimada atakuja kuwa kama huyo mke ambaye umemkimbia na pengine akawa kero zaidi kwa ung'ang'anizi na blackmail!
acheni kudanganyana hata kwa huyo kimada ukimto*** kila siku utasikia hayo hayo kachoka...msiwasingizie wake wa ndoa babu eee!
MwanaF1 Umehitimisha vizuri sana kuwa it takes two to tango!

It takes two to tango. Makosa yanakua ya wote. Unajua usipo muambia mtu kuna tatizo fulani basi hata wewe una kosa. Kumbuka kama mwenzio haoni kuwa anafanya kosa lolote basi hawezi jirekebisha, ni mpaka hapo utakapo muambia. Wanaume wengine nakubali wanakua ni selfish na wana jiangalia wenyewe lakini na mama nae lazima aseme.

If the love life is good non of you will think of cheating. Ongea nae muimprove tendo lenyewe, maana ya kuwa mke na mume si kushirikiana na kusaidiana katika kila kitu?
Tukiendelea kuwa na mtizamo kuwa ni jukumu la mke kubeba mzigo wa kuimarisha au ku sustain ndoa, tukumbuke hakuna anayeweza kubeba mzigo mzito peke yake bila msaada milele.Kuna siku huyohuyo mke ataubwaga huo mzigo!
 
...kwani, kwa 'kawaida' tuliooa inakubalika tujamiiane mara ngapi na mwenzi wako katika wiki moja (kwa mfano?)


sidhani kama hii kitu ina formula kamili, kwangu me&mr ni muda wakati wowote tupo free na kila mmoja anajihisi/anahitaji, unaweza kuhitaji leo, kesho na kesho kutwa na mnaweza pia kushangaa mnamaliza hata mwezi hamjafanya hilo tendo coz mambo mbali mbali yapo kati, sex sio kila kitu kwenye ndoa/ uhusiano.
 
Nionavyo mimi kuna ubinafsi mwingi katika shughuli nzima kwa maana ya kwamba mtu anajifikiria yeye mwenyewe lakini hamfikirii mwenza wake. Kuhusu kulea hili ni suala ambalo hata kwa hao walioendelea ni tatizo kubwa linalohitaji mjadala wa kina, twende mbele turudi nyuma, jukumu la kulea watoto ni la mama kiasili hata kwenye viumbe hai wengine ndivyo ilivyo kwa sehemu kubwa. Lakini kwa upande mwingine, ni jukumu la baba, kulea familia yake.
 
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya Wanawake wanaonekana ni wavivu wa mapenzi katika ndoa.Viashiria vyake ni wanaume kuwa na nyumba ndogo kutokana na kutotosheka kimapenzi katika ndoa.
C sababu ya msingi...sababu ya mwanaume kuwa na nyumba ndogo kunatokana na yeye mwenyewe mwanaume- na sio sababu ya mwanake.....


Waliotoa maoni hudai kuwa mke wa ndoa huwa na visingizio vingi kama nimechoka,usinichakaze,usinifanye malaya(changudoa),bado ninalea na vingi vya namna hiyo.
C visingizio ni haki yake kusema kachoka...mana mwanamke analea mtoto, anapika, anafua, kama hafanyi hayo anafanya kazi kazini ya kutype-nursing,bank,police,mjeshi,mwalimu na mengi- hayo pia tosha, yanaweza kusababisha achoke...hivi babu zetu walikuwa na akili kama hizo zetu?Ndo mana wengi sana tunaishia kuvuta bangi...lollll


Visingizio hivyo havipo anapotoka nje ya ndoa hivyo kuona ndoa ni mzigo kimapenzi na kusababisha kupungua kwa matunzo katika familia.
Mtu anapotoka nje ya ndo ni kutokana ana akili yake na sio sababu ulizo zitaja....ndo mana ukakuta walevi wako aina nyingi-kunao wanao pend akunywa bear,konyagi,gongo,mirungi, bangi na drugs....sa hapo ni akili zao ziko tofauti-wengine wanaishia kuvuta sigara....na si ajabu ukakuta wengine kama sisi hata sigara tunaziogopa.....umenipata dogo...

Je wanandoa hakuna haja ya kuweka mkakati ili kutatua tatizo hili?
Yanini mkakati! Wakati mtu anajulikana anapo owa lazima awe ana akili zake timamu-sa mkakati utasaidia nini....ikiwa huna akili?!!:):rolleyes::cool:
 
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya Wanawake wanaonekana ni wavivu wa mapenzi katika ndoa.Viashiria vyake ni wanaume kuwa na nyumba ndogo kutokana na kutotosheka kimapenzi katika ndoa.Waliotoa maoni hudai kuwa mke wa ndoa huwa na visingizio vingi kama nimechoka,usinichakaze,usinifanye malaya(changudoa),bado ninalea na vingi vya namna hiyo.Visingizio hivyo havipo anapotoka nje ya ndoa hivyo kuona ndoa ni mzigo kimapenzi na kusababisha kupungua kwa matunzo katika familia.Je wanandoa hakuna haja ya kuweka mkakati ili kutatua tatizo hili?

Uamuzi wa kuwa na nyumba ndogo hautokani na mke kuchoka kimapenzi na sababu nyingine ulizozitaja. Unahusu uhusiano wa wanandoa. Kuna njemba moja iliniambia imeshafikisha wapenzi 100 pamoja na kuwa imeoa.

Je, unafikiri wote hao huwa wamechoka kimapenzi? Mimi naona kuwa na nyumba ndogo ni tabia ya mtu. Kuna watu watasema wakioa watatulia na baada ya kuoa wanaendeleza tabia ya awali as if hawajaoa. In fact, kuna sababu nyingi za kuwa na nyumba ndogo ambazo watu wanazitoa na zinalingana na idadi ya watu wote wenye mawazo kama hayo.

Baadhi ya wanaume wanataka wakisema leo wanataka basi mke akubali mara. Lakini kwa upande wangu mambo haya yana lugha yake. Na ukiona mwenzio yeye hajawa katika hali hiyo, basi ni vizuri kuheshimu. Inabidi tujiendeleze katika elimu ya sexuality - ili tujue kitu gani kinatakiwa kwa wakati gani.

Uhusiano mara nyingi unaweza kuwa tatizo. Yaani, kunakuwa na kitu kinachomkera mwenzako kiasi kwamba bila kukishughulikia ndoa itaendelea kuwa na tatizo.
 
unajua mapenzi siyo lazima sex tu , mara nyingi wanawake wanachoka kwa sababu wanaume wanaangalia lile tendo tu na wanakuwa wabinafsi yeye akishatosheka anaacha, ndo mana wanawake wengi wanalalmika uchovu halafu unakuta yale mapenzi aliyokuwa anampa zamani yameisha anaona huyu amekuwa mama vitu vingine tuviache, halafu mama anashinda nyumbani na kazi nyingi au akitoka kazini makazi mengi zinaisha ssaa nne usiku yuko hoi mume kazi kubadilisha channel hata hamsaidi unafikiri akifika kitandani ataweza kitu.
Kama kazi anasaidiwa na bado mvivu wa mapenzi,tatizo ni nini?Hivi ni bao ngapi zinamridhisha mpenzi?
 
Kama kazi anasaidiwa na bado mvivu wa mapenzi,tatizo ni nini?Hivi ni bao ngapi zinamridhisha mpenzi?

...naaaaaaaaaaam, now you are talking! ndio maana nikaulizia;
...kwani, kwa 'kawaida' tuliooa inakubalika tujamiiane mara ngapi na mwenzi wako katika wiki moja (kwa mfano?)

pamoja na majibu mazuri ya dada Penny;

Hapa inategeme na hormones zenu...mnaweza kujamiana everyday kama inawezekana...ila nasikia ni vizuri at least three times a week, from my view of point.

...ingewezekana hata every day au (doze morning evening)! maana nadhani nina hormones kali sana.

...kuridhika ndio kila kitu katika "tendo la ndoa", siku unayotoa dozi :), ...baada ya hapo wiki nzima mtu hakutazami usoni. Haya mambo ya kufanyana baiskeli au cherehani sio freshi bana, hata kuku akichoka utamuona anaingia mitini!
 
Nionavyo mimi kuna ubinafsi mwingi katika shughuli nzima kwa maana ya kwamba mtu anajifikiria yeye mwenyewe lakini hamfikirii mwenza wake. Kuhusu kulea hili ni suala ambalo hata kwa hao walioendelea ni tatizo kubwa linalohitaji mjadala wa kina, twende mbele turudi nyuma, jukumu la kulea watoto ni la mama kiasili hata kwenye viumbe hai wengine ndivyo ilivyo kwa sehemu kubwa. Lakini kwa upande mwingine, ni jukumu la baba, kulea familia yake.

Haya mambo ya kusema mmoja lazima amridhishe mwingine mi siyakubali. Tendo la ndoa ndo linafanya ndoa iitwe ndoa. Sasa kama mme unataka mara kwa mara na mke hataki kwa nini usiiridhishe nafsi yako tuu?

Mwanamke naye anawajibu wa kuhakikisha anaridhika. Visingizio vya kuwa eti mme anajijali yeye tuu huwa naviona sana. Lakini ukweli ni kuwa mme anajiridhisha yeye kwa sababu yeye ndio anataka.

Mwanamke anang'ang'anizwa na hata hiyo foreplay hataki. Akishikwa hapa hataki, nimechokaaa! Busu au kunyonyana ndimi vipi, sitaki!!! Fungua mapaja basi nikulambe chumviiii hadi ujisikie halafu niingize, sijisikiii!!! Sasa hapa kosa la nani???

Nakubali kabisa kina mama wengi wanakuwa wavivu sana. Lifestyle ya mjini sikuhizi hasa huku bongo sikubali kuwa eti mama anachoka kuliko baba. Kazi karibu zote za home anafanya house girl. Hata kina mama wakitoka kazini wengi huoga tu na kukaa kwenye TV. Shida hata siku akishinda amekaa, akifika kitandani visingizio vile vile sijisikii!!!

Kutokana na culture kina mama wengi hawataki au hawawezi kulianzisha. Lakini inatakiwa wawe active baba anapoanzisha. Akikimbilia katikati ya miguu kama bado, ukimwambia bado, nishike hapa na hapa kwanza, baba wengi hukubali.

Tatizo ni pale mama anaposema sijisikii wakati huo huo baba anataka na mama hampi alternative ya kufanya. Tunakubali kina mama wengi wako slow. Lakini akikubali moto huwaka pole pole na hatimaye atajisikia. Akipenda kufurahia atamdhibiti baba, akienda fasta unamslow down. hadi mtafika.

Shida kina mama wengi wanaplay passive role halafu anataka baba amfikirie yeye wakati yeye mwenyewe haonyeshi kujifikiria.
 
Shingo

Basi kutoka nje hakutakwisha....kazi kweli kweli. Watu waendelee kufanya wapendavyo/wajisikiavyo. Sawa Fidel?
 
Haya mambo ya kusema mmoja lazima amridhishe mwingine mi siyakubali. Tendo la ndoa ndo linafanya ndoa iitwe ndoa. Sasa kama mme unataka mara kwa mara na mke hataki kwa nini usiiridhishe nafsi yako tuu?

Mwanamke naye anawajibu wa kuhakikisha anaridhika. Visingizio vya kuwa eti mme anajijali yeye tuu huwa naviona sana. Lakini ukweli ni kuwa mme anajiridhisha yeye kwa sababu yeye ndio anataka.

Mwanamke anang'ang'anizwa na hata hiyo foreplay hataki. Akishikwa hapa hataki, nimechokaaa! Busu au kunyonyana ndimi vipi, sitaki!!! Fungua mapaja basi nikulambe chumviiii hadi ujisikie halafu niingize, sijisikiii!!! Sasa hapa kosa la nani???

Nakubali kabisa kina mama wengi wanakuwa wavivu sana. Lifestyle ya mjini sikuhizi hasa huku bongo sikubali kuwa eti mama anachoka kuliko baba. Kazi karibu zote za home anafanya house girl. Hata kina mama wakitoka kazini wengi huoga tu na kukaa kwenye TV. Shida hata siku akishinda amekaa, akifika kitandani visingizio vile vile sijisikii!!!

Kutokana na culture kina mama wengi hawataki au hawawezi kulianzisha. Lakini inatakiwa wawe active baba anapoanzisha. Akikimbilia katikati ya miguu kama bado, ukimwambia bado, nishike hapa na hapa kwanza, baba wengi hukubali.

Tatizo ni pale mama anaposema sijisikii wakati huo huo baba anataka na mama hampi alternative ya kufanya. Tunakubali kina mama wengi wako slow. Lakini akikubali moto huwaka pole pole na hatimaye atajisikia. Akipenda kufurahia atamdhibiti baba, akienda fasta unamslow down. hadi mtafika.

Shida kina mama wengi wanaplay passive role halafu anataka baba amfikirie yeye wakati yeye mwenyewe haonyeshi kujifikiria.

What you are saying is just over simplification! Ndoa ni zaidi ya kumwambia mwenzako mfanye mapenzi na mwenzako akubali mara. Kwani ikitokea mwanamme amechoka au kuna kitu kimemuathiri kisaikolojia kiasi kwamba kwa muda huo hawezi kupata tamaa za mwili, mke wake akimwomba wafanye mapenzi atafanya kweli?Kama kwa wanaume inatokea hivyo, kwa nini isitokee kwa wanawake kwa muda ambao na yeye kuna kitu kimemuathiri hata kama hayuko aware ni kitu gani? Halafu ni lazima kujifunza ni mambo gani yanamuathiri mwenzako. Wanandoa wanaweza kujidanganya kuwa kwa kuona wanalala pamoja kila siku na wanaenda outing pamoja basi 'they are a happy couple, no'! Happiness is a process and has to be continually cultivated and maintained.Kwenye maisha ya ndoa kuna frustrations nyingi: low self-estieem, feelings of rejection, betrayal, of being cheated, instances of violence, feeling of emptiness, lack of fulfilment, etc. Haya yote yanachangia katika kuleta au kuondoa hamu ya tendo la ndoa.Hali hii inategemea uhusiano (relationship) zaidi wa wanandoa zaidi ya kuomba na kukubaliwa. Ndiyo maana nikasema kwenye post yangu hapo juu, mambo ya sex yana lugha yake na viashiria vyake na siyo tu mwanamme akitaka na iwe hivyo. Watu wenye uhusiano mzuri na wanaoongea lugha moja mambo haya huyasikii sana. Ila wale wanaoishi kama maadui (hata kupata muda wa kujadili kitu ni shida), of course, hiyo passivity unayosema lazima itakuwepo tu. Kama ikitokea hivyo, wote wawili wanatakiwa wafanye kitu kinaitwa 'sexual healing'. Experience yangu inanifundisha kuwa haya mambo si ya kuambiwa bali ku'discover for yourself the blessings and curses of family life'.Kwa kifupi maisha ya ndoa yenye consolation and desolation. Wakati wa consolation mambo yanaenda vizuri na kila mmoja anaonekana happy. Wakati wa desolation - yanaenda isivyo na kunaanza matatizo. Ni vizuri kuona trends hizi ili tujue how to cope with such passages of life.
 
Magobe,

Unachosema ni sawa na hakika. Lakini hizi shida nyingi unazozisema zisipokuwa communicated ujue zinakuwa amplified. Nakubaliana na wewe vile vile kuhusu issue ya kufanya sexual healing. Tatizo ni kuwa hakuna kanuni inayoeleweka ya kufanya hiyo sexual healing. Ni theoretical zaidi kuliko practical.

Lakini suala ambalo mi bado naliona ni sahihi ni kuwa mzigo wa kumridhisha mke kwenye ndoa hauko kwa mume. Na vile vile mzigo wa kumridhisha mume katika ndoa hauko kwa mke. Ni lazima kila mmoja ajione kama partner katika kushindwa au kufanikiwa. Isije kushindwa kwa mke siku zote lawama zielekezwe kwa mme.

Lakini vile vile biologically, wanawake ni reactive when it comes to sex. Ingawa kuna some few exceptions, lakini overwhelming majority ya wanawake hupokea. Yaani wanahita kustuliwa ili kurespond. Vinginevyo ukiwa unasubiri mpaka aseme leo nataka unaweza kukaa mwezi, huku ukiwaka rohoni kila siku.
 
Magobe,

Unachosema ni sawa na hakika. Lakini hizi shida nyingi unazozisema zisipokuwa communicated ujue zinakuwa amplified. Nakubaliana na wewe vile vile kuhusu issue ya kufanya sexual healing. Tatizo ni kuwa hakuna kanuni inayoeleweka ya kufanya hiyo sexual healing. Ni theoretical zaidi kuliko practical.

Lakini suala ambalo mi bado naliona ni sahihi ni kuwa mzigo wa kumridhisha mke kwenye ndoa hauko kwa mume. Na vile vile mzigo wa kumridhisha mume katika ndoa hauko kwa mke. Ni lazima kila mmoja ajione kama partner katika kushindwa au kufanikiwa. Isije kushindwa kwa mke siku zote lawama zielekezwe kwa mme.

Lakini vile vile biologically, wanawake ni reactive when it comes to sex. Ingawa kuna some few exceptions, lakini overwhelming majority ya wanawake hupokea. Yaani wanahita kustuliwa ili kurespond. Vinginevyo ukiwa unasubiri mpaka aseme leo nataka unaweza kukaa mwezi, huku ukiwaka rohoni kila siku.

Kwa maneno mengine (besides what you've said), sexual urge ina lugha yake na namna yake ya kuianzisha hata kama husemi nataka tufanye hiki au kile. Hivyo, ni vizuri tuwe creative na pia understanding when things don't work the way we want them to work. Au siyo, Shingo?
 
Nilichokiandika hapa ni simplification, ndiyo Magobe, siwezi kuandika protocol yote hapa. Nilipozungumzia mme kuanzisha kwa kusema anataka, simaanishi kwamba it is that simple.

However my core concept ni ile ile kuwa mwanamke anao wajibu wa kuhakikisha anapata hicho anachokitaka (kama kipo), kama vile ambavyo mwanaume hukisaka na kukipata.

Ikiwa mke yeye ndo analalamikia kila wakati misongo, maudhi, n.k. hali itakuwaje? I mean wote mnaudhiana. Sasa inapokuwa mke anaathiriwa zaidi na maudhi kuliko mme ujue hapo kuna shida ya selfishness.

Tumeshaona humu humu wanawake wengi hulalamikia maudhi na kero za hapa na pale kuliko wanaume. Je ni kweli kuwa hawa wanawake wao hawawapi kero waume zao? Si kweli kuwa wanaume wengi huzisahau kero zao na kuamua kujitosa kwenye majamboz only kukuta wanawake bado wameng'ang'ania hayo maudhi na kero?

Kwa nini wanawake wengi tu ndo hulalamikia uchovu kazini? Ina maana wanaume hawafanyi kazi physical? Hapa lazima kuna tatizo!!
 
Nilichokiandika hapa ni simplification, ndiyo Magobe, siwezi kuandika protocol yote hapa. Nilipozungumzia mme kuanzisha kwa kusema anataka, simaanishi kwamba it is that simple.

However my core concept ni ile ile kuwa mwanamke anao wajibu wa kuhakikisha anapata hicho anachokitaka (kama kipo), kama vile ambavyo mwanaume hukisaka na kukipata.

Ikiwa mke yeye ndo analalamikia kila wakati misongo, maudhi, n.k. hali itakuwaje? I mean wote mnaudhiana. Sasa inapokuwa mke anaathiriwa zaidi na maudhi kuliko mme ujue hapo kuna shida ya selfishness.

Tumeshaona humu humu wanawake wengi hulalamikia maudhi na kero za hapa na pale kuliko wanaume. Je ni kweli kuwa hawa wanawake wao hawawapi kero waume zao? Si kweli kuwa wanaume wengi huzisahau kero zao na kuamua kujitosa kwenye majamboz only kukuta wanawake bado wameng'ang'ania hayo maudhi na kero?

Kwa nini wanawake wengi tu ndo hulalamikia uchovu kazini? Ina maana wanaume hawafanyi kazi physical? Hapa lazima kuna tatizo!!

Shingo ni kweli unayosema - kuna tatizo. Ila wanaume wengi wanataka kila wakitaka kufanya mapenzi mwanamke akubali bila kwanza huyo mwanamme kutumia lugha (njia) ya kumfanya mwenzake naye awe katika hali hiyo.

Wengine kwa kulazimishwa anasikia maumivu makali na unasikia akipiga kelele - jamani nakufa - na wengine, anatoka nje ya nyumba akiwa uchi na kukimbia. Kisa! Mme anamlazimisha kufanya mapenzi.

Siku hizi kuna madawa ya kuongeza nguvu za kiume na baadhi ya watu wanayatumia na hayo madawa yakiwachanganya, wanataka kwa vyovyote vile wafanye mapenzi (mke apende, asipende). Jamani, Shingo, tufanye mambo kistaarabu na tukifanya hivyo wote tunajisikia vizuri.

Binafsi siwezi kumlazimisha mke wangu kama yeye hataki na nikilazimisha sitakuwa na hamu na nitajisikia vibaya - kama nimebaka vile.

Kulalamika kwa baadhi ya wanawake kunategemea pia style ya waume zao. Mfano, wanaume wengine hawaongei kitu na wake zao (wakiongea ni ugomvi) lakini wanataka wakimwambia haya tufanye hivi, wanategemea mke akubali mara bila kukataa eti ndiye aliyeolewa.
 
Ndugu wanawake wa JF naomba mchango wenu zaidi juu ya uvivu wa wanawake kimapenzi katika ndoa.
 
Ndugu wanawake wa JF naomba mchango wenu zaidi juu ya uvivu wa wanawake kimapenzi katika ndoa.
Naona sijachangia kama mwanamke, kwa kweli hili swala nadhani huletwa zaidi na uvivu wa wanaume kupenda kupanda kama majogoo...hivi unahabari ya kuwa wanawake hupenda kutongozwa, tongozwa kila mara! kaa ukilijua hilo kuanzia leo basi. Mwanamke hupenda kutongozwa na kusifiwasifiwa kila mara...yakipungua hayo basi na yeye uvivu humvamia vilevile. Hebu siku moja mwambie wife mkutane kwenye pub fulani...alafu ukienda hapo kaa kwenye counter then mwambie waiter ampelekee bia alafu kweka na kinote kinachosema mfano "my darling, you look very beautiful, I love you" uone kama hata kenua meno kwa furaha. Tatizo nyie wanaume hamjui kuwa dawa ipo mikononi mwenu. Mtaendeleea kunyimwa hivyo hivyo.
 
...nilisahau kuongezea, akishaisoma na akageuka kukutizama ulipo mkonyeze na umwick.
 
mi naona watu huchokana. Na kama hamna malengo mliowekean wazi tangu mwanzo, na wote mkawa dedicated. Ni rahisi sana kulega na kuona uvivu kujaribu kurudisha penzi.
Mambo yanakuwa mengi, umri, urembo unapungua, majukumu, nk. Na bila kusahau majungu ya majirani na mkusanyiko wa kero.
Bila kulivalia njuga swala la mapenzi, litapeperushwa na upepo kama unyoya, bila wote wawili kujua, mtabaki mkisimulia enzi zenu zilizopita.
Muhimu ni kupokea mabadiliko ya mwenzio kama na yeye anavyoyapokea ya kwako, kumpenda kama alivyo sasa.
But do we have that time?
we are soooo bize kukimbiza hela
 
Hey Penny, hebu fafanua hayo maneno mawili, si unajua tena elimu ni bahari....

Hi, bwana wee! hata mimi yawezekena nimekosea...kukonyeza utatumia jicho, na hiyo kuwingck unatumia nyusi kwa kuzielekeza juu na chini. Nadhani utakuwa umenielewa ndugu.
 
Back
Top Bottom