zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Wanawake wanasemekana kuwa na upendo wa kweli mara nyingi. Ila wao wapo tofauti sana na Wanaume katika kuchagua mtu wa kumpenda.
Wanawake hutumia muda mrefu kufanya maamuzi ya kumpenda mtu. Inakadiriwa kuwa wanawake hutumia siku 134 kufanya maamuzi ya kumpenda mtu. Hii imekaaje au ni kwasababu wanawake labda wana vigezo vingi vya kuzingatia kuliko wanaume.
Wanaume wao ni wepesi wa kumpenda mtu kuliko wanawake. Sababu hapa nashindwa kuielewa ni kwanini?
Ila kuna wengine naona kabisa bongo huwa wanaharakisha mambo anakwambia "nipe wiki tu yule mtoto ntamtia boksi". Nadhani hapa ndo maana wanaume wanakataga tamaa mapema kwasababu mwanamke anachelewa kufanya maamuzi ya kupenda.
Hapo unaskiaga zile kauli za kuwakatisha tamaa wenye papara na love you approach a lady then anakwambia "nipe muda nifikirie"hapo wanaume wanalose hope kabisa wanasepa wanatakaga ile ya tit for tat isizidi hata wiki ushafanya maamuzi.
Wanawake hutumia muda mrefu kufanya maamuzi ya kumpenda mtu. Inakadiriwa kuwa wanawake hutumia siku 134 kufanya maamuzi ya kumpenda mtu. Hii imekaaje au ni kwasababu wanawake labda wana vigezo vingi vya kuzingatia kuliko wanaume.
Wanaume wao ni wepesi wa kumpenda mtu kuliko wanawake. Sababu hapa nashindwa kuielewa ni kwanini?
Ila kuna wengine naona kabisa bongo huwa wanaharakisha mambo anakwambia "nipe wiki tu yule mtoto ntamtia boksi". Nadhani hapa ndo maana wanaume wanakataga tamaa mapema kwasababu mwanamke anachelewa kufanya maamuzi ya kupenda.
Hapo unaskiaga zile kauli za kuwakatisha tamaa wenye papara na love you approach a lady then anakwambia "nipe muda nifikirie"hapo wanaume wanalose hope kabisa wanasepa wanatakaga ile ya tit for tat isizidi hata wiki ushafanya maamuzi.