Kwanini wanawake wanaamini wanaume hatuna haki ya kukataa kufanya nao mapenzi?

Yani wanawake sijui wakoje sio hilo tu, unatoka home saa 1 asubuhi unamwacha nyumbani then unarudi saa mbili usiku ukishika tu remote na kuadili channel pengine uangalie michezo kosa wakati yeye kashida na TV kutwa nzima.

Ukipitia huko pengine uchek match kidogo tatizo utaambiwa kwani kwako huna TV yani hawa viumbe ni shida
 
Nitoe mfano mdogo tu kwangu mimi.

"hapa nyumbani shemeji yenu naishi nae vizuri tu lakini kuna swala hili moja, kuna kipindi nikimuhitaji kimapenzi yuko huru kuniomba excuse kama siku hiyo hatokuwa tayari kwa sababu mbali mbali inaweza kuwa kuchoka au kutokuwa na hamu tu.

Lakini ikija kwangu ni kinyume chake, yeye akiitaji kushiriki na mimi nikimuomba excuse kwamba nimechoka naomba aniache nipumzike hawezi kunielewa.

Atalazimisha sana na ata nikizidi kukaza ataleta maneno maneno mengi ya kunilaumu "sitaki kwa sababu nimetoka kukutana na malaya zangu huko, sitaki kwa sababu labda nimemchoka na Nk."

Maneno huwa ni mengi aswaa.

Ndio maana nimekuja hapa jamvini tujadili, Hivi kwa nini wanawake wanaamimi sisi wanaume hatuna haki ya kukataa kufanya nao mapenzi? Kwa nini?


Cc Zero IQ
Mjitumbua woote! ule? tena una kwaruza ivi na visiki! plus vihips vya kishkaji! daaa! jamani heee! nijivunge mie! maweeee!! hata km naumwa! sijui natoka kuchakata huko porini, Maria wangu! akiniomba tu faster nampa! au hiko kimke chako kimechakaa flani hivi, ajili ya kukapa kazi za kuchakata viazi vya chips! kwani kakoje hebu picha! tukushauri
 
Mjitumbua woote! ule? tena una kwaruza ivi na visiki! plus vihips vya kishkaji! daaa! jamani heee! nijivunge mie! maweeee!! hata km naumwa! sijui natoka kuchakata huko porini, Maria wangu! akiniomba tu faster nampa! au hiko kimke chako kimechakaa flani hivi, ajili ya kukapa kazi za kuchakata viazi vya chips! kwani kakoje hebu picha! tukushauri
na wewe acha kuongozwa na nyege mkuu, unadhani watu wanambato muda wote tu? Na kazi zinatofautiana.
 
Mwanamume ukianza kuwaza hivyo awazavyo zero iq umekombolewa tayari.
Kila mtu aweke maslahi yake mbele basi.
Maelewano kwenye mahusiano iwe Siyo kupitia upendo kwa sababu wanawake hawawezi kupenda bali iwe kubadilishana maslahi
 
Back
Top Bottom