Kwanini wanawake waliokulia maisha ya kimaskini wakifika mjini hugeuza tabia zao

Okinawan

JF-Expert Member
Apr 10, 2018
253
259
Poleni kwa majukumu ya hapa na pale wakuu,

Binafsi nimeshuhudia baadhi ya watu wangu wa karibu wakilia kilio cha mbwa mwizi baada ya wakezao kubadili tabia baada ya kuja dar.

Kisa kiko hivi:-

Kunajamaa yangu mmoja alipofikia umri wa kuoa aliamua kufunga safari na kwenda vijiji vya ndani kutafuta mke,maana aliona wanawake wa mjini watamsumbua.Basi alipofika huko alibahatika kupata mke na alifanyataratibu kadhaa akakabidhiwa mke.

Ishu ilianza hivi:

Mke alikuwa msikivu,mpole sana na mwenye heshima kweli kweli kwa mume,walizaa mtoto mmoja baada ya kuishi kwa muda fulani simu za ndugu wa mwanamke zikawa haziishi wakiwa wanahitaji misaada mbalimbali yule mumewe akawa anasaidia kiroho safi kwasababu mke hakuwa na kazi yeyote baada ya siku kuzidi kwenda hali ya mkewe ikawa inazidi kubadilika kwasababu yule mwanamke na mama yake wakawa wanataka wamtawale jamaa kwa kila kitu yaani mke akisema jambo yaani lisipingwe yaani ikafikia hatua mama mkwe wa jamaa anajua A to Z ya mambo ya ndani ya mshkaji ,ikafikia hatua yule jamaa akitoka kazini anakuta mkewe amenuna anapojaribu kumuuliza anasema mama kasema wewe hunipendi na wala hunifai basi jamaa anajaribu kutatua yanaisha ,siku nyingine anakuwa sebuleni muda mrefu anaangalia TV tu haji geto kumpa unyumba jamaa mpaka jamaa anaenda kumuomba unyumba ndio anakubali.Chakula alikuwa hapiki kwa wakati yeye na TV tu,malezi ya mtoto pia hayakuwa mazuri kabisa jamaa anauwezo lakini mtoto hali kwa wakati,kushinda kwa majirani na kuongea umbea tu.

Mwisho

Yule Dada aligombana na jamaa na siku hiyo hiyo jioni alichukua kila kilichochake na kuamua kuondoka na mtoto huku akiutangazia uma kuwa alikua ananyanyaswa na kupigwa,jamaa alipofanya uchunguzi aliambiwa kuwa mkewe alishawaga kuwa IPO siku atandoka maana ameshapata bwana mwingine.The end

Sasa najiuliza hawa wanawake waliotoka kaya maskini wanalaana za ukoo au mapepo ambayo huwa yanawafuatilia ili wasitoboe kimaisha,wakuu karibuni.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenz kunoga
tapatalk_1584018670847.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni kwa majukumu ya hapa na pale wakuu,

Binafsi nimeshuhudia baadhi ya watu wangu wa karibu wakilia kilio cha mbwa mwizi baada ya wakezao kubadili tabia baada ya kuja dar.

Kisa kiko hivi:-

Kunajamaa yangu mmoja alipofikia umri wa kuoa aliamua kufunga safari na kwenda vijiji vya ndani kutafuta mke,maana aliona wanawake wa mjini watamsumbua.Basi alipofika huko alibahatika kupata mke na alifanyataratibu kadhaa akakabidhiwa mke.

Ishu ilianza hivi:

Mke alikuwa msikivu,mpole sana na mwenye heshima kweli kweli kwa mume,walizaa mtoto mmoja baada ya kuishi kwa muda fulani simu za ndugu wa mwanamke zikawa haziishi wakiwa wanahitaji misaada mbalimbali yule mumewe akawa anasaidia kiroho safi kwasababu mke hakuwa na kazi yeyote baada ya siku kuzidi kwenda hali ya mkewe ikawa inazidi kubadilika kwasababu yule mwanamke na mama yake wakawa wanataka wamtawale jamaa kwa kila kitu yaani mke akisema jambo yaani lisipingwe yaani ikafikia hatua mama mkwe wa jamaa anajua A to Z ya mambo ya ndani ya mshkaji ,ikafikia hatua yule jamaa akitoka kazini anakuta mkewe amenuna anapojaribu kumuuliza anasema mama kasema wewe hunipendi na wala hunifai basi jamaa anajaribu kutatua yanaisha ,siku nyingine anakuwa sebuleni muda mrefu anaangalia TV tu haji geto kumpa unyumba jamaa mpaka jamaa anaenda kumuomba unyumba ndio anakubali.Chakula alikuwa hapiki kwa wakati yeye na TV tu,malezi ya mtoto pia hayakuwa mazuri kabisa jamaa anauwezo lakini mtoto hali kwa wakati,kushinda kwa majirani na kuongea umbea tu.

Mwisho

Yule Dada aligombana na jamaa na siku hiyo hiyo jioni alichukua kila kilichochake na kuamua kuondoka na mtoto huku akiutangazia uma kuwa alikua ananyanyaswa na kupigwa,jamaa alipofanya uchunguzi aliambiwa kuwa mkewe alishawaga kuwa IPO siku atandoka maana ameshapata bwana mwingine.The end

Sasa najiuliza hawa wanawake waliotoka kaya maskini wanalaana za ukoo au mapepo ambayo huwa yanawafuatilia ili wasitoboe kimaisha,wakuu karibuni.


Sent using Jamii Forums mobile app

Ukitaka kuoa mwanamke angalia yule angalau unaemfahamu kwa muda hata wa miaka kadhaa, na awe mtu aliyekaa mjini hata kidogo, ndoa nyingi za watu ambao walienda kubeba wake wasiowajua huko vijijini zinasumbua sana,
 
wanawake wa mjini Vs wanawake wa kijijini. Ujuaji Vs Ulimbukeni. Chagua mwenyewe!
 
Mkuu binadamu wanafanana sio mjini au kijijini. Tabia zote ziko kote kote, kijijini na mjini. Hakuna namna unaweza kusema wanawaka wote wa kijijini ni wazuri. Kama ingekuwa hivyo basi ndoa za vijijini zingekuwa na amani tele.
 
Ulimbukeni + tabia ya mtu. Ila mambo ya kwenda kuoa/kuolewa na mtu hufaham chochote kumhusu nalo ni tatizo. Bora mnayefahamiana japo kidogo unajua tabia yake inakua rahisi kumhandle
 
Poleni kwa majukumu ya hapa na pale wakuu,

Binafsi nimeshuhudia baadhi ya watu wangu wa karibu wakilia kilio cha mbwa mwizi baada ya wakezao kubadili tabia baada ya kuja dar.

Kisa kiko hivi:-

Kunajamaa yangu mmoja alipofikia umri wa kuoa aliamua kufunga safari na kwenda vijiji vya ndani kutafuta mke,maana aliona wanawake wa mjini watamsumbua.Basi alipofika huko alibahatika kupata mke na alifanyataratibu kadhaa akakabidhiwa mke.

Ishu ilianza hivi:

Mke alikuwa msikivu,mpole sana na mwenye heshima kweli kweli kwa mume,walizaa mtoto mmoja baada ya kuishi kwa muda fulani simu za ndugu wa mwanamke zikawa haziishi wakiwa wanahitaji misaada mbalimbali yule mumewe akawa anasaidia kiroho safi kwasababu mke hakuwa na kazi yeyote baada ya siku kuzidi kwenda hali ya mkewe ikawa inazidi kubadilika kwasababu yule mwanamke na mama yake wakawa wanataka wamtawale jamaa kwa kila kitu yaani mke akisema jambo yaani lisipingwe yaani ikafikia hatua mama mkwe wa jamaa anajua A to Z ya mambo ya ndani ya mshkaji ,ikafikia hatua yule jamaa akitoka kazini anakuta mkewe amenuna anapojaribu kumuuliza anasema mama kasema wewe hunipendi na wala hunifai basi jamaa anajaribu kutatua yanaisha ,siku nyingine anakuwa sebuleni muda mrefu anaangalia TV tu haji geto kumpa unyumba jamaa mpaka jamaa anaenda kumuomba unyumba ndio anakubali.Chakula alikuwa hapiki kwa wakati yeye na TV tu,malezi ya mtoto pia hayakuwa mazuri kabisa jamaa anauwezo lakini mtoto hali kwa wakati,kushinda kwa majirani na kuongea umbea tu.

Mwisho

Yule Dada aligombana na jamaa na siku hiyo hiyo jioni alichukua kila kilichochake na kuamua kuondoka na mtoto huku akiutangazia uma kuwa alikua ananyanyaswa na kupigwa,jamaa alipofanya uchunguzi aliambiwa kuwa mkewe alishawaga kuwa IPO siku atandoka maana ameshapata bwana mwingine.The end

Sasa najiuliza hawa wanawake waliotoka kaya maskini wanalaana za ukoo au mapepo ambayo huwa yanawafuatilia ili wasitoboe kimaisha,wakuu karibuni.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni jambo la kawaida. Wahenga hawakukosea waliponena kwamba masikini akipata matako hulia mbwata. Macho ya binti hawa hufunguka mara tu wanapofika mjini.
 
N ulimbukeni na ushamba... Huwa mjinga hajijui.. Hawa mwisho wa Siku huishia pabaya Sana
Poleni kwa majukumu ya hapa na pale wakuu,

Binafsi nimeshuhudia baadhi ya watu wangu wa karibu wakilia kilio cha mbwa mwizi baada ya wakezao kubadili tabia baada ya kuja dar.

Kisa kiko hivi:-

Kunajamaa yangu mmoja alipofikia umri wa kuoa aliamua kufunga safari na kwenda vijiji vya ndani kutafuta mke,maana aliona wanawake wa mjini watamsumbua.Basi alipofika huko alibahatika kupata mke na alifanyataratibu kadhaa akakabidhiwa mke.

Ishu ilianza hivi:

Mke alikuwa msikivu,mpole sana na mwenye heshima kweli kweli kwa mume,walizaa mtoto mmoja baada ya kuishi kwa muda fulani simu za ndugu wa mwanamke zikawa haziishi wakiwa wanahitaji misaada mbalimbali yule mumewe akawa anasaidia kiroho safi kwasababu mke hakuwa na kazi yeyote baada ya siku kuzidi kwenda hali ya mkewe ikawa inazidi kubadilika kwasababu yule mwanamke na mama yake wakawa wanataka wamtawale jamaa kwa kila kitu yaani mke akisema jambo yaani lisipingwe yaani ikafikia hatua mama mkwe wa jamaa anajua A to Z ya mambo ya ndani ya mshkaji ,ikafikia hatua yule jamaa akitoka kazini anakuta mkewe amenuna anapojaribu kumuuliza anasema mama kasema wewe hunipendi na wala hunifai basi jamaa anajaribu kutatua yanaisha ,siku nyingine anakuwa sebuleni muda mrefu anaangalia TV tu haji geto kumpa unyumba jamaa mpaka jamaa anaenda kumuomba unyumba ndio anakubali.Chakula alikuwa hapiki kwa wakati yeye na TV tu,malezi ya mtoto pia hayakuwa mazuri kabisa jamaa anauwezo lakini mtoto hali kwa wakati,kushinda kwa majirani na kuongea umbea tu.

Mwisho

Yule Dada aligombana na jamaa na siku hiyo hiyo jioni alichukua kila kilichochake na kuamua kuondoka na mtoto huku akiutangazia uma kuwa alikua ananyanyaswa na kupigwa,jamaa alipofanya uchunguzi aliambiwa kuwa mkewe alishawaga kuwa IPO siku atandoka maana ameshapata bwana mwingine.The end

Sasa najiuliza hawa wanawake waliotoka kaya maskini wanalaana za ukoo au mapepo ambayo huwa yanawafuatilia ili wasitoboe kimaisha,wakuu karibuni.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bahati mbaya wengi tunafikiri kijijini ndio bado kuna wanawake wenye tabia nzuri za kuoa.Ukweli ni kwamba huko ndio Kuna shida, kuwepo kwa umeme, teknolojia ya mawasiliano kama simu janja,televisheni n.k zimewafanya wanawake na mabinti wengi kuigiza maisha wanayoona wakidhani ndio uhalisia na ujanja! Mwalimu wao ni Bongo movie!

Shule za kata nazo zina mchango wake,wengi wamesoma mpaka kidato cha nne, na wamegeuza shule Kama kisingizio cha kutofanya kazi za nyumbani. Hivyo ni wavivu kupindukia, zaidi huanza mapenzi toka Shule za msingi. Wengi wamekubuhu kwa uzinzi.

Umaskini na hali duni za maisha zimeharibu mabinti wengi wa vijijini, wengi hujiingiza kwenye ngono mapema mno ili kupata fedha za kujikimu. Mbaya zaidi wazazi hasa wa kike hufahamu na wao ndio huwachochea kujiuza ili wakidhi mahitaji madogo madogo hasa wakati wa misimu ya kuuza mazao ndio utaona mabinti hujiuza bila kificho.

Vijiji vingi vimepoteza maadili, mabinti wako huru kutoka na kuingia usiku. Hakuna mafundisho wala kuandaa wanawake wema. Ukileta mjini, tabia zao za vijijini changanya ulimbukeni amini boda boda watamtafuna na mbaya zaidi hawana aibu wala kujistiri.
 
Poleni kwa majukumu ya hapa na pale wakuu,

Binafsi nimeshuhudia baadhi ya watu wangu wa karibu wakilia kilio cha mbwa mwizi baada ya wakezao kubadili tabia baada ya kuja dar.

Kisa kiko hivi:-

Kunajamaa yangu mmoja alipofikia umri wa kuoa aliamua kufunga safari na kwenda vijiji vya ndani kutafuta mke,maana aliona wanawake wa mjini watamsumbua.Basi alipofika huko alibahatika kupata mke na alifanyataratibu kadhaa akakabidhiwa mke.

Ishu ilianza hivi:

Mke alikuwa msikivu,mpole sana na mwenye heshima kweli kweli kwa mume,walizaa mtoto mmoja baada ya kuishi kwa muda fulani simu za ndugu wa mwanamke zikawa haziishi wakiwa wanahitaji misaada mbalimbali yule mumewe akawa anasaidia kiroho safi kwasababu mke hakuwa na kazi yeyote baada ya siku kuzidi kwenda hali ya mkewe ikawa inazidi kubadilika kwasababu yule mwanamke na mama yake wakawa wanataka wamtawale jamaa kwa kila kitu yaani mke akisema jambo yaani lisipingwe yaani ikafikia hatua mama mkwe wa jamaa anajua A to Z ya mambo ya ndani ya mshkaji ,ikafikia hatua yule jamaa akitoka kazini anakuta mkewe amenuna anapojaribu kumuuliza anasema mama kasema wewe hunipendi na wala hunifai basi jamaa anajaribu kutatua yanaisha ,siku nyingine anakuwa sebuleni muda mrefu anaangalia TV tu haji geto kumpa unyumba jamaa mpaka jamaa anaenda kumuomba unyumba ndio anakubali.Chakula alikuwa hapiki kwa wakati yeye na TV tu,malezi ya mtoto pia hayakuwa mazuri kabisa jamaa anauwezo lakini mtoto hali kwa wakati,kushinda kwa majirani na kuongea umbea tu.

Mwisho

Yule Dada aligombana na jamaa na siku hiyo hiyo jioni alichukua kila kilichochake na kuamua kuondoka na mtoto huku akiutangazia uma kuwa alikua ananyanyaswa na kupigwa,jamaa alipofanya uchunguzi aliambiwa kuwa mkewe alishawaga kuwa IPO siku atandoka maana ameshapata bwana mwingine.The end

Sasa najiuliza hawa wanawake waliotoka kaya maskini wanalaana za ukoo au mapepo ambayo huwa yanawafuatilia ili wasitoboe kimaisha,wakuu karibuni.


Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda ni mapepo. Mkataa chema pabaya panamwita.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom