Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Unakuta demu umekua nae mkiwa watoto au kusoma nae mpaka std 7, sometimes mmemaliza nae sekondari. Lakini mmepotezana miaka kibao zaidi ya 20. Akikutana na jamaa zenu anauliza ulipo na kutafuta contacts, akizipata ni usumbufu tupu kutaka game, mbaya zaidi wengi wameolewa na kuzalishwa.
Tatizo lipo wapi? Au wengi wanakuwa wamekosea njia? Hii facebook ndio inawarahisishia kabisa kutafuta marafiki wa zamani, kosa tu wakikupata ni meseji za kufa mtu kutaka kuanza kupangana.
Tatizo lipo wapi? Au wengi wanakuwa wamekosea njia? Hii facebook ndio inawarahisishia kabisa kutafuta marafiki wa zamani, kosa tu wakikupata ni meseji za kufa mtu kutaka kuanza kupangana.