Kwanini wanawake wakivaa uniform wanavutia zaidi!?

CheerleadersView attachment 1079000View attachment 1079002
8ab64c90eb6c2745ebcea5915a6600b3.jpeg
View attachment 1079001
4eb868b990bb9d672cceb82d0d120672.jpeg
 
Umenikumbusha mbali sana.
Miaka kama 6 hivi niliitwa kny interview. Meeting point ilikuwa hoteli moja hapo. Alienifanyia interview alikuwa mdada, alikuwa amevaa suti inemkaaa hasa.

Yaani mda wote wa maswali akili yangu ilikuwa kwa yule dada. Baada ya interview nilimsimulia rafiki yangu moja nijamwambia nikishindwa ujue sababu no yule dada.
Hahahaa! malizia story mkuu,ikawaje? interview ulipasi au ulifeli vyote pamoja na kumkosa huyo mdada?:D:D
 
Huu Uzi utaharibika mda si mrefu maana naona kuna wale vijana zero brain wameanza kutupia picha za uchi
 
Back
Top Bottom