Kuna demu hapo ana miguu kama ya Zahela
Umenikumbusha mbali sana.
Hili ni kweli mkuu,mwanzoni nlipo notice wananvutia nkajitathmini kua nna dalilia za kua Ephebophilia nini,
Bar Maids tafadhaliHa ha wanawakilishwa na polisi wenzao hapo juu
Hukuchukua no.? mim ningemwambia nisishindwe vyote jamani!!Umenikumbusha mbali sana.
Miaka kama 6 hivi niliitwa kny interview. Meeting point ilikuwa hoteli moja hapo. Alienifanyia interview alikuwa mdada, alikuwa amevaa suti inemkaaa hasa.
Yaani mda wote wa maswali akili yangu ilikuwa kwa yule dada. Baada ya interview nilimsimulia rafiki yangu moja nijamwambia nikishindwa ujue sababu no yule dada.
Hili ni kweli mkuu,mwanzoni nlipo notice wananvutia nkajitathmini kua nna dalilia za kua Ephebophilia nini,
Baadae nkaja gundua iko hv,mtoto wa kiume wwngi wakiwa ndani ya pubert age,wasichana wanaokua nao close ni wanafunzi wenzao (mostly not all) hii ina affect taratibu kiasi kwamba baadae a lady in uniform hata km anaigiza ataonekana sexiii and attractive,
Air hostess,bar maid,pilots,music dancers hta law inforcers wote wakiwa in uniform kuna ka attraction fulani hivi originated from childhood