Kwanini Wanawake wa zamani walikuwa wanavumilia Vipondo vya Waume zao ila si wa sasa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,542
108,858
Ni kwanini Wanawake wa siku hizi hawana tena Uvumilivu wa Kuhimili Vipigo Vitakatifu (vya Kishalubela) kutoka kwa Wanaume wakati Mama zao walikuwa wanaweza na tena wakipigwa ndiyo walikuwa wakiongeza Mapenzi kwa Wanaume na wala walikuwa hawalii na hawatangazi kwa Watu?
 
Ni kwanini Wanawake wa siku hizi hawana tena Uvumilivu wa Kuhimili Vipigo Vitakatifu (vya Kishalubela) kutoka kwa Wanaume wakati Mama zao walikuwa wanaweza na tena wakipigwa ndiyo walikuwa wakiongeza Mapenzi kwa Wanaume na wala walikuwa hawalii na hawatangazi kwa Watu?
Mimi nilipelekwa Polisi nikalala lockup eti.alafu wale wamama wa dawati ni soo hata kama unachakuwaambia hawasikilizi
 
Options zinaonekana kwa urahisi, macho yako wazi sasa kuliko zama hizo.

Wa zamani hawakuwa na fursa za kuwachomoa mikononi mwa wale wakatili wanaume!

Sipendi kupigwa,inakata mapenzi kabisaaa
ila unapenda uchokozi bila shaka.
 
Tafuta namna nyingine ya kumuadhibu mke ila sio kipigo lakini pia tambua miili ya sasa hivi sio ile ya zamani mf. mtoto wa leo hii anachapwa viboko shuleni anazimia au kufa mwl. anakutana kesi ya mauaji.
Zamani unakatwa kwa panga au unachomwa mshale unapona bila kwenda hospital kitu ambacho leo hii hakiwezekani kabisa.
(Wangu akiniudhi kipigo lazima wacha liwalo na liwe)
 
Hapana, ukiona mwenza kazidisha maneno kuna vitu umepunguza anataka urudishe attention yako kwake, ikitokea hali hiyo grab her tight to your chest then give her a loooong kiss, kisirani kwisha! Ila nyie wanaume zenu ni ngumi mkononi, mnaharibu sana.
Hizo kashkashi ni pamoja na makofi ambayo lazma mchezee mkizidisha utoto 😂😂😂
 
Hapana, ukiona mwenza kazidisha maneno kuna vitu umepunguza anataka urudishe attention yako kwake, ikitokea hali hiyo grab her tight to your chest then give her a loooong kiss, kisirani kwisha! Ila nyie wanaume zenu ni ngumi mkononi, mnaharibu sana.
Huyo mwanamke wa kumgrab labda awe anatokea Tanga. Kama ni mtu wa Kanda ya Mbeya au Iringa unaweza jutia maamuzi yako.😂😂😂
 
Kinyume cha ushenzi ni ustaarabu na kinyume cha unyama ni ubinadamu, hivyo kadiri miaka inavyozidi kwenda watu wanaojitambua wanachagua kuishi kiustaarabu na kibinadamu zaidi tofauti na walivyoishi kinyama na kishenzi zamani.

Kumpiga mwanamke bado ni kosa, ni uhalifu na ni aina fulani ya ukatili, unyama na ushenzi fulani hivi, haijalishi kama ni zamani au sasa, haijalishi kama walivumilia au hawakuvumilia. Miaka za zamani mfumo dume ulikuwa na nguvu zaidi, elimu na uchumi wa kipato ulishikiliwa na wanaume zaidi, hivyo kuwafanya wanawake wengi kuwa wanyonge, duni, wasio na elimu na walishindwa kutambua haki zao, hivyo walipopigwa hawakuwa na ufumbuzi mbadala na wala hawakuwa na pa kukimbilia.

Hivi sasa wanawake wengi wana elimu ya kutosha kutambua haki zao, wana uwezo wa kuhoji, wana nguvu ya kiuchumi sawa au zaidi hata kuliko wanaume wengi, wanajitambua na wanaweza kutafuta ufumbuzi kwa njia mbali mbali na pia kuna misaada mingi ya kisheria n,k

Ni mjinga pekee anayeweza hata kufikiria kumpiga mwanamke, jambo bora analoweza kufanya mwanaume kwa miaka ya sasa ni kutafuta fedha kwa nguvu zote kwa ajili ya kumlisha mwanamke wake na familia yake na atumie miaka yote ya maisha yake ajifunze kuhusu kiumbe mwanamke.
 
Tafuta namna nyingine ya kumuadhibu mke ila sio kipigo lakini pia tambua miili ya sasa hivi sio ile ya zamani mf. mtoto wa leo hii anachapwa viboko shuleni anazimia au kufa mwl. anakutana kesi ya mauaji.
Zamani unakatwa kwa panga au unachomwa mshale unapona bila kwenda hospital kitu ambacho leo hii hakiwezekani kabisa.
(Wangu akiniudhi kipigo lazima wacha liwalo na liwe)
Akinivuruga nachukua Nguo mbili tatu naamsha naenda zangu hatoniona wiki nzima.. Mara Unaaanza kuona simu ya mama mkwe Mara ya mama Mara Bamdogo ... Wewe mwenzako analalamika haupo nyumbani ... Nawajibugi tu pigeni na ofisini Kama sifiki kazini ... Asipobadilika ndio ntamuachia na mji nnkaanze upya .... Mara mbili ya tatu amenyooka....
 
Back
Top Bottom