demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Nimabahatika kupitia walio wengi (sijikwazi). Nilichokigundua ni kwamba wadada wa siku hizi huwa hawavai shanga kabisa.Yaani utamaduni wa kuvaa shanga kwao umetoweka kabisa. Nashindwa kujua kwanini shanga kwenu zimekuwa kama ukoma, hamutaki kabisa kuzisikia.
Sijui ni "usista doo" unaongezeka ama la? Au wengi wenu hamkupitia fundo za wazee?
Baada ya kuvaa shanga, utakuta mtu amevaa kikuku hadi kwenye "Nanihiu"...vichuma chuma kibao. Mpaka ukitoka hapo unaanza kujiuliza 'Hivi leo nilikuwa kwa fundi welding?' Maana si kwa vyuma vile yaani mwili mzima. Kuanzia Usoni, Puani, Shingoni, pale kati, hadi kwenye miguu. Vyuma kila pahala.
Jamani badilikeni, ondoeni vyuma weka 'shanga'. Nmatukosesha raha zetu.
Sijui ni "usista doo" unaongezeka ama la? Au wengi wenu hamkupitia fundo za wazee?
Baada ya kuvaa shanga, utakuta mtu amevaa kikuku hadi kwenye "Nanihiu"...vichuma chuma kibao. Mpaka ukitoka hapo unaanza kujiuliza 'Hivi leo nilikuwa kwa fundi welding?' Maana si kwa vyuma vile yaani mwili mzima. Kuanzia Usoni, Puani, Shingoni, pale kati, hadi kwenye miguu. Vyuma kila pahala.
Jamani badilikeni, ondoeni vyuma weka 'shanga'. Nmatukosesha raha zetu.