Kwanini wanawake wa kizungu wana miguu mizuri kuliko hawa mabinti zetu?

Kule Kwetu

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
3,157
1,890
Habarini wakuu,

Aisee ukiwacheck mabinti wa kizungu hata hawa wanaokuja kwa programs mbalimbali huku Bongo utagundua wana miguu minene mizuriii hadi kucha half na vitako vilaini vinavyotetemeka hata kama ni vidogo.

Hawa wadada wengi wa kibongo hawana miguu ya dizain zile na wengine wana kucha nyeusi sijui wamepondwa na nyundo au, na magaga visiginoni ni wachache wenye miguu iliyoshiba vizuri na ukimkuta flat screen wa kibongo ujue ana vit*ako vigumuu kama ngumi.

Hivi ni asili ya watu weusi au ni ukosefu wa lishe bora? Au ni mazoezi ya miguu wadada hawafanyi?
 
Hebu weka kapicha ili niamini ukisemacho
1470553247938.jpg
 
Bint Kazaliwa Kijijini, Family Duni, Kazi Ngumu Zinazopelekea Kupata Vidonda Miguuni Wakati Wa Utotoni. Kandambili Kaaza Kuvaa Akiwa Darasa La Saba. Harafu Ent Bado Unashangaa Kwanini Wana Miguu Na Kucha Mbaya??. Kama Wewe Umezaliwa Mjini Tena Kwenye Zile Family Za Kishua Basi Mshukuru MUNGU.
 
Back
Top Bottom