Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Akiwa ziarani Simiyu , Mkuu wa kaya anakutana na malalamiko kibao ya walimu .
Walimu wamemlalamikia tatizo la mabinti wanafunzi kuolewa linakithiri.
Bila kumung'unya Baba Riz ametoa tamko/karipio kali, dhidi ya wazazi wawaozeshao mabinti , na waoaji.
Na kwamba ameviamuru vyombo vya dola kuchukua hatua stahili , na watakao bainika laws ichukue nafasi yake .
Sina tatizo na agizo la Baba Riz .
Niulizeni basi , shida yangu iko wapi ?
Shida yangu iko hapa :
Inakuaje Serikali ichukue hatua kwa wasichana tu?
Je ? Kijana wa kiume mwanafunzi aliyeozeshwa Jimama na wazazi wake , huyu hana hatua ya kuchukuliwa ? Kuanzia wazazi wake , mkewe na mwenyewe ?.
Wenzetu wanawake kila pale wapatapo gap la kusimika chama wanasimika .
UWT , TAMWA , TAWLA , MEWATA , na aidha pia wana Benk yao .
Hiyo ni mif. Michache kuthibitisha nikisemacho .
Hivi kujisimikia mivyama na mitaasisi kibwena nini mantiki yake ?
Huu ni uwoga ?
Kujihami ?
Hivi nyie wanamme nanyi mna ka'chama kenu ?
Walimu wamemlalamikia tatizo la mabinti wanafunzi kuolewa linakithiri.
Bila kumung'unya Baba Riz ametoa tamko/karipio kali, dhidi ya wazazi wawaozeshao mabinti , na waoaji.
Na kwamba ameviamuru vyombo vya dola kuchukua hatua stahili , na watakao bainika laws ichukue nafasi yake .
Sina tatizo na agizo la Baba Riz .
Niulizeni basi , shida yangu iko wapi ?
Shida yangu iko hapa :
Inakuaje Serikali ichukue hatua kwa wasichana tu?
Je ? Kijana wa kiume mwanafunzi aliyeozeshwa Jimama na wazazi wake , huyu hana hatua ya kuchukuliwa ? Kuanzia wazazi wake , mkewe na mwenyewe ?.
Wenzetu wanawake kila pale wapatapo gap la kusimika chama wanasimika .
UWT , TAMWA , TAWLA , MEWATA , na aidha pia wana Benk yao .
Hiyo ni mif. Michache kuthibitisha nikisemacho .
Hivi kujisimikia mivyama na mitaasisi kibwena nini mantiki yake ?
Huu ni uwoga ?
Kujihami ?
Hivi nyie wanamme nanyi mna ka'chama kenu ?