Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nampa pole sana huyo boy ulie nae anapoteza timeKupenda pesa sio umalaya bali ni kuelewa kuwa pesa ina umuhimu maishani. Pesa sio kinogesho cha mapenzi, bali ni kitu kinachotakiwa kiwepo sio tu kwenye mapenzi, hata kwenye maisha. Tukubali tu ukweli hata kama ukweli huo unakutia hasira kiasi gani๐๐. Personally siwezi kuvutiwa kimapenzi na mwanaume asiye na pesa. Navutiwa kimapenzi na mwenye pesa..kama wengine wanavovutiwa na six packs, vifua, ndevu, sura nzuri n.k mimi navutiwa na pesa. Kwa hiyo mtu kuvutiwa na pesa sio umalaya ni kupenda tu pesa kama wengine wanavopenda hizo six packs n.k. Ni issue tu ya kuelewa kuwa binadamu wapo tofauti na wanavutiwa na vitu tofauti. ILA PESA TAMU AISEE...๐๐๐๐๐๐๐
Hapotezi time hata kidogo. Wewe ndo unapoteza time kuwa msemaji wa ndoa yetu๐๐๐. Kutoa pesa kwake sio tatizo ila wewe ndo unataka umuaminishe alione ni tatizo๐๐๐๐Nampa pole sana huyo boy ulie nae anapoteza time
Oa mabinti wa vijijini.Kwa hiyo sie tunaomiliki boda boda tu hatupendwi, wacha tuendelee kula wakusoma wa vyuo tu.
Namuonea huruma sana kwa sababu hana mwanamke ana malaya mpenda pesa.siku zikiisha mbioooHapotezi time hata kidogo. Wewe ndo unapoteza time kuwa msemaji wa ndoa yetu๐๐๐. Kutoa pesa kwake sio tatizo ila wewe ndo unataka umuaminishe alione ni tatizo๐๐๐๐
Hahahha..wanaume wote wasio na pesa huwaita wanawake malaya..Sasa si bora kuwa kupenda hela kuliko kuwa mama huruma๐๐๐๐. Halafu alokwambia nitamkimbia nani?๐๐. Punguza hasira tafuta pesa๐คฃ๐๐.Namuonea huruma sana kwa sababu hana mwanamke ana malaya mpenda pesa.siku zikiisha mbiooo