Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,579
- 50,669
Hapana sio mtima nyongo extro..Kwahio mie sistahili kula au, mbona kantima nyongo sasa 😂😂😂
Sijawahi kuweza kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja..hiyo ndo shida sasa kwangu.
Hapana sio mtima nyongo extro..Kwahio mie sistahili kula au, mbona kantima nyongo sasa 😂😂😂
Unaelekea kuweza soonHapana sio mtima nyongo extro..
Sijawahi kuweza kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja..hiyo ndo shida sasa kwangu.
Inawezekana au isiwezekaneUnaelekea kuweza soon
Mie huwa naamini katika kushinda siku zote.😅Inawezekana au isiwezekane
Maana mimi sio mgeni kwenye mahusiano so usilisahau hilo.
Ndo mana nikasema inawezekana ama isiwezekane inategemea na ninaokutana nao😂😂Mie huwa naamini katika kushinda siku zote.😅
Nimekuelewa sana mkuu, sasa na wewe basi uanze kupritendi hili tusipoteze mda kabisa jamaa akatangaze ndoa fasta au unasemaje au ndo umesema maisha ya kupritendi huyawezi sasa itakuwaje aisee usije kuwa unapoteza nafasi au tayali ushaingia kwenye chama any way tuachane na ayo hiki kitabia Cha kujifanga malaika kabla ya ndoa sio kizuri kabisa maana unashindwa kutambua tabia halisi ya mwenza wako na mara nyingi hizi tabia wanazo hawa digrii na mastazi do.com namaanisha wasomi wetu hawa.Unafikiri mkuu...huo ndo ukweli haki tena.
Wanaume wanapenda pia kudanganywa..
Na ndo mana saa ingine wanaingia kingi..anaenda kuoa mdada mjinga,mpole..anaejitahidi kuishi kama malaika wa zamu mbinguni kumbeee ni bomu zaidi ya lile la Islamic State.matokeo yake kivumbi na jasho utaenda kukiona ndani.
Hivi unafikiri utaachana na wanaume au wanawake wangapi katika hii dunia??wote wanamatatizo hakuna mkamilifu.
Cha msingi ni kujuana na kuambiana Dos na Donts kiupole kabisa bila kutumia nguvu nyingi mbona sisi ni waelewa kabisa..
Wewe jaribu kufuatilia nyuzi za humu ndani kama hujakutana na baadhi ya wanaume wanalalamika wanawake zao wamebadilika baada ya kufunga ndoa..
Ukweli ni kwamba sio wamebadilika.....hapana isipokuwa hukutaka kumjua rangi yake halisi kabla hamjaoana..hiyo ndo shida.na anashindwa kuishi maisha yake akihofia kupigwa chini akaikosa ndoa.
Nimeshindwa kupritendigi aiseh..naona maisha yanakuwa magumu kabisa.nitaishi maisha ya wazi ikikupendeza ukataka tufanye maisha niambie kiupole kabisa “babe,hiki na hiki hakiufurahishi moyo wangu”mbona simpo kabisa naelewa na nitabadilika na nitakupenda zaidi
Sasa kama wewe husemi mi nitajuajeEhee nitajuaje??
cariha na credit analystWanawake wasanii sana mzee baba, na namna ya kuwanasa we mfungie ndani tu mkae hata miezi 6 tu lazma kuna vitabia utavigundua tu. Usimwambie dhahiri kama unataka kumuoa. Imagine mtoto Cariha au Credit analyst ukae nae ndani miezi miwili tu. Lazma udate!
Sasa we unaita demu weekend tu kisha week nzima anatanga na dunia mnaongea katika simu tu
Mkuu hakuna mtu ambae anashindwa kubadilika,na hakuna kitu kizuri kama kukaa chin na kuzungumza na mwenza wako..Nimekuelewa sana mkuu, sasa na wewe basi uanze kupritendi hili tusipoteze mda kabisa jamaa akatangaze ndoa fasta au unasemaje au ndo umesema maisha ya kupritendi huyawezi sasa itakuwaje aisee usije kuwa unapoteza nafasi au tayali ushaingia kwenye chama any way tuachane na ayo hiki kitabia Cha kujifanga malaika kabla ya ndoa sio kizuri kabisa maana unashindwa kutambua tabia halisi ya mwenza wako na mara nyingi hizi tabia wanazo hawa digrii na mastazi do.com namaanisha wasomi wetu hawa.
Huyo unaemfungia ndani hana kwao ? Hana familia?Wanawake wasanii sana mzee baba, na namna ya kuwanasa we mfungie ndani tu mkae hata miezi 6 tu lazma kuna vitabia utavigundua tu. Usimwambie dhahiri kama unataka kumuoa. Imagine mtoto Cariha au Credit analyst ukae nae ndani miezi miwili tu. Lazma udate!
Sasa we unaita demu weekend tu kisha week nzima anatanga na dunia mnaongea katika simu tu😂😂😂
Atakuwa anafanya nini kwao ikiwa kashaanza kujitegemeaHuyo unaemfungia ndani hana kwao ? Hana familia?
Hakuna nafasi ninayopoteza mkuu...Nimekuelewa sana mkuu, sasa na wewe basi uanze kupritendi hili tusipoteze mda kabisa jamaa akatangaze ndoa fasta au unasemaje au ndo umesema maisha ya kupritendi huyawezi sasa itakuwaje aisee usije kuwa unapoteza nafasi au tayali ushaingia kwenye chama any way tuachane na ayo hiki kitabia Cha kujifanga malaika kabla ya ndoa sio kizuri kabisa maana unashindwa kutambua tabia halisi ya mwenza wako na mara nyingi hizi tabia wanazo hawa digrii na mastazi do.com namaanisha wasomi wetu hawa.
Nimekuelewa sana mkuu nafikiri mawazo yako ni mazuri natumaini wadada wenzako watayatumia na kuyafanyia kazi mana mahusiano yamekuwa ni shida kwa sasa nyuzi nyingi watu wanalalamika juu ya wapenzi wao.Hakuna nafasi ninayopoteza mkuu...
Ninachomaanisha ni kwamba sio ninamambo ya ajabu ya kumstua mwanaume a asitake kutangaza ndoa...hapana.
Ninachomaanisha ni hivi siwezi kufake kuwa malaika,kama yeye si malaika Kwanini mimi niwe malaika...nitakuwa mimi na sio malaika.
Cha msingi ni kukaa na mwenzi wako mkayazungumzia mapungunfu yenu mkabadilika..hakuna kitu kizuri kama mazungumzo nakwambia tena.
Na ndo mana siku hizi watu wanalalamikia sana mahusiano kwa kuwa watu hukurupuka..kumuacha mpenzi wako wa zamani unaemjua na kwenda kuoa mwanamke mpya ambae wala humjui hilo ndo tatizo.
Zungumzeni na wapenzi wenu mkishindwana si basi mnaachana kwa amani..
Ni bora shetani unaemjua kuliko malaika usiyemjua huu msemo sijui huwa unamaanisha nini.
Mapenzi hayana formula,kama unampenda mtu mwambie,kuleni maisha
Tukiwa wawazi enzi za uchumba lazima uje huku uombe ushauri na ushauri utakaa upate huku ni wa kutupiga chini sasa itakuwaje bila kupritendi jamani
Na nyie wanaume mnapenda muingie kwenye mahusiano na malaika wa mbinguni. Sasa wewe ulisikia wapi kuna binadamu malaika. Ehee ulisikia wapi??
Cha kmsingi ni kupendana, kuchukuliana na kumsoma mwenza wako ni mtu wa namna gani. Fulustopu