THEGENTLEMAN1996
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 518
- 590
Ndugu JF,
Kiukweli bila kupindisha ukweli, mimi huwa najiuliza maswali mengi sana juu ya wanawake.
Kumbuka si wote ila wengi wao.
1.Kwanini wanawake wengi hujihusisha na uchawi,
kwa mfano; house girls wengi wa visa na matukio mengi ya kishirikina.
Mfano mwingine hata mitaani tetesi za wachawi wengi ni mabibi sana.
2.Kwanini wanawake wengi wana roho mbaya.
kwa mfano dada yangu mmoja yeye hata jirani anapohitaji msaada kutoka kwetu, lazima tu dada ajiongeleshe negatively eti "kwani hapa tu ndo ameona"
3.Chuki moyoni.
Yaani wanawake wengi tu wamebeba chuki hata ya kitu kidogo,
mfano watoto wanapogombana wao kwa wao mama zao hutunza chuki isiyo kifani.
4.Kujidharau
Haina ubishi!
Wanawake hujidharau sana, mfano: Mwananume akifanya upuuzi, wanawake wanasikika wakisema yaani "mwanaume unafanya vitu kama mwanamke?
Sasa huwa najiuliza kwanini kwao?
Kiukweli bila kupindisha ukweli, mimi huwa najiuliza maswali mengi sana juu ya wanawake.
Kumbuka si wote ila wengi wao.
1.Kwanini wanawake wengi hujihusisha na uchawi,
kwa mfano; house girls wengi wa visa na matukio mengi ya kishirikina.
Mfano mwingine hata mitaani tetesi za wachawi wengi ni mabibi sana.
2.Kwanini wanawake wengi wana roho mbaya.
kwa mfano dada yangu mmoja yeye hata jirani anapohitaji msaada kutoka kwetu, lazima tu dada ajiongeleshe negatively eti "kwani hapa tu ndo ameona"
3.Chuki moyoni.
Yaani wanawake wengi tu wamebeba chuki hata ya kitu kidogo,
mfano watoto wanapogombana wao kwa wao mama zao hutunza chuki isiyo kifani.
4.Kujidharau
Haina ubishi!
Wanawake hujidharau sana, mfano: Mwananume akifanya upuuzi, wanawake wanasikika wakisema yaani "mwanaume unafanya vitu kama mwanamke?
Sasa huwa najiuliza kwanini kwao?