joel amani
Senior Member
- Nov 22, 2011
- 100
- 8
mara nyingi najiuliza mwanaume akitoka nje ya ndoa haipewi uzito sana kama ni kosa ingawa ni kosa,sasa upande wa wanawake akitoka nje ya ndoa jamii kwa ujumla inamwona ni malaya sana tena huchukiwa,najiuliza wote wanaleta magonjwa ndani wakifanya hivyo,sasa kwanini mwanamke huonekana amekosea zaidi? mbaya zaidi utakuta mwanaume anatoka nje mara nyingi na mwanamke akifanya mara moja tu huonekana ni mchafu zaidi,wana jf hii ni sawa na haki?