Alimana
Member
- Jun 20, 2016
- 28
- 58
Jamani binadamu tumetofautiana, kunawengine mkiachana yaani ndio mwanzo wa maisha mapya tena yenye furaha zaidi ya kipindi mkiwa wapenzi.
Hapa mtaanza kusaidiana kwenye mishe mbalimbali kama Biashara, na matatizo mbalimbali ya kijamii.
Heshima huongezeka kwa kila mmoja,yaani hakuna wa kumfatilia mwenzake kama mlivyokuwa wapenzi.
Pia kila mmoja anakuwa mshahuri wa mwenzake hadi kenye mahusiano hasa ikiwa mmoja wapo au wote wamepata wapenzi WAPYA.
Sasa kwa EX kama huyo kunahaja ya kufuta namba zaka?????
Kundi la pili hawa mkiachana tu, yaani ndio umetangaza vita tena vikali hasa. Anakununia wewe hadi ndugu na jamaa zako.
Fitna hadi kwenye shughuri zako za uchumi na kijamii pia. Hadi unajutiani kumfahamu.
Akujuwa mpenzi wako MPYA au MKEO basi asila zake zote anazielekeza huko.
Sasa kuna haja ya kuhifadhi Namba za EX wa tabia hizi kwa faida gani?
Hapa mtaanza kusaidiana kwenye mishe mbalimbali kama Biashara, na matatizo mbalimbali ya kijamii.
Heshima huongezeka kwa kila mmoja,yaani hakuna wa kumfatilia mwenzake kama mlivyokuwa wapenzi.
Pia kila mmoja anakuwa mshahuri wa mwenzake hadi kenye mahusiano hasa ikiwa mmoja wapo au wote wamepata wapenzi WAPYA.
Sasa kwa EX kama huyo kunahaja ya kufuta namba zaka?????
Kundi la pili hawa mkiachana tu, yaani ndio umetangaza vita tena vikali hasa. Anakununia wewe hadi ndugu na jamaa zako.
Fitna hadi kwenye shughuri zako za uchumi na kijamii pia. Hadi unajutiani kumfahamu.
Akujuwa mpenzi wako MPYA au MKEO basi asila zake zote anazielekeza huko.
Sasa kuna haja ya kuhifadhi Namba za EX wa tabia hizi kwa faida gani?