Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asisahau kwenda nje kuangalia na mawingu kama yapo..Hebu subiri kukuche vzr !!
Vip umeamuka salama?
Hakikisha kama unatembea kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unayefanyaga si usemeKwani wanafanyana wenyewe kwa wenyewe?
Waseme na wanaofanywa basi
Umepigwa mkuyenge ndani ya Gari zaidi ya Moja Dada.... Pole ndio maisha lakiniHii tabia siyo tu kwamba sasa imeshazoeleka bali kwa jinsi ambavyo ninakutana nayo sasa ni dhahiri kabisa kuwa imeshaota Mizizi.
Nafanyaga na naniWewe unayefanyaga si useme
Umepigwa mkuyenge ndani ya Gari zaidi ya Moja Dada.... Pole ndio maisha lakini
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu gari yenyewe ni VITZ!! Humo ndani hamjibani? Hakitingishiki?kwanza kinachoshawishi ni ule utulivu,piaa huwa ni dharura i mean nikama vile nikimpa mtu lift nikichombeza akijaa tunamaliza kazi natafuta parking mzuri tuu nawasha mtutuu
Sent using Jamii Forums mobile app
iyoiyo mkuu unaziludisha nyuma kidgo zile siti za nyuma na izi za mbele zin move forward tena kunabak uwanja kama taifa pale game inaendeleaAfu gari yenyewe ni VITZ!! Humo ndani hamjibani? Hakitingishiki?