Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Hii ni research nimefanya kwa watu ninaowajua na nisiowajua kuna wanaume wengi waliokwenye ndoa
wameshindwa kuweka sawa mambo yao kwenye ndoa lakini wakitoka kwa nyumba ndogo kuna ambao walikuwa wakirusha mipira miwili kwa wakezao huko wanarusha mpaka minne unajiuliza wanazitoa wapi wakati wamekaa na wake zao zaidi ya miaka miwili wasizitoe hizo tano je hao wanakuwa nanini??
Ama wanalishwaga nini kuzitoa nyingi hivyo na je umejiuliza kama wanaume wengi wangekuwa wakitumika vyema kwenye ndoa kama wanavyojituma nje ya ndoa nakwambia pengine talaaka tungekuwa tukiisikia kwa mbali sana sana...
Embu mungu aliekupa nguvu za kusimama kanisani kukiri ni mkeo wa milele akupe nguvu uweze kuendelea kutunza nyumba yako...sijui ni vyakula kumekuwa na ongezeko kubwa sana la nguvu zza vidume tena vijana wadogo kabisa nadhani tunatakiwa kuwa makini sasa tuangalie wale wana nini na wako amemis nini na nini cha kufanya usirudie kwao tena
wameshindwa kuweka sawa mambo yao kwenye ndoa lakini wakitoka kwa nyumba ndogo kuna ambao walikuwa wakirusha mipira miwili kwa wakezao huko wanarusha mpaka minne unajiuliza wanazitoa wapi wakati wamekaa na wake zao zaidi ya miaka miwili wasizitoe hizo tano je hao wanakuwa nanini??
Ama wanalishwaga nini kuzitoa nyingi hivyo na je umejiuliza kama wanaume wengi wangekuwa wakitumika vyema kwenye ndoa kama wanavyojituma nje ya ndoa nakwambia pengine talaaka tungekuwa tukiisikia kwa mbali sana sana...
Embu mungu aliekupa nguvu za kusimama kanisani kukiri ni mkeo wa milele akupe nguvu uweze kuendelea kutunza nyumba yako...sijui ni vyakula kumekuwa na ongezeko kubwa sana la nguvu zza vidume tena vijana wadogo kabisa nadhani tunatakiwa kuwa makini sasa tuangalie wale wana nini na wako amemis nini na nini cha kufanya usirudie kwao tena