Kibenje KK
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 267
- 380
Wanawake hivi Mnajua sababu kwanini Wanaume wengi sikuhizi Hawaoi?
Nimekua nikiona makanisani Wanawake wanavyoenda mbele kuombewa ili wapate ndoa, Mchungaji akisema POKEA NDOA? utasikia Napokeaaaaaa lakini ndo kwanza wanaume wanaogopa. Sio kuwa wanaume hawataki kuoa ila kuna hizi sababu. 👇
1. Mwanaume Anapenda Mwanamke anayejiheshimu. Hakuna mwanaume anavutiwa na mwanamke mwenye maneno, utani kupitiliza, nguo zinazomuonyesha na kuchonga mwili wake.
2. Mwanaume Anapenda Mwanamke ambaye ni Mvumilivu. Si kila siku mambo yanaenda vizuri. Ukipata Mvumilivu kwanini usioe?
3. Mwanaume Anapenda Mwanamke anayejari na Kuthamini
4. Mwanaume Anapenda Mwanamke Mwenye Mawazo Chanya (Future Vision). Kuna mahali naweza kushindwa. Nisaidie.
5. Mwanaume anapenda Kutodharauliwa. Enyi wanawake waheshimu waume zenu.
6. Mwanaume Anapenda Maamuzi yake yaheshimiwe. Unaweza kumshauri lakini heshimu maamuzi yake.
7. Mwanaume Anapenda Mwanamke anaye Rizika.
8. Mwanaume ni kichwa, anapenda kuwa juu. Mpe nafasi yake.
9. Mwanaume anapenda Kusikilizwa
10. Mwanaume yoyote hapendi Mwanamke anayejiona na anayejiskia. Kha! I kuna wanawake wanajiona wa gharama sana. Unapaswa kujipa thamani ila usijisikie.
Mwanamke Bora ni Yule anayejua Thamani ya Mwanaume na si yule anayejua Kipato cha Mwanaume.
#kelvinkibenje
Nimekua nikiona makanisani Wanawake wanavyoenda mbele kuombewa ili wapate ndoa, Mchungaji akisema POKEA NDOA? utasikia Napokeaaaaaa lakini ndo kwanza wanaume wanaogopa. Sio kuwa wanaume hawataki kuoa ila kuna hizi sababu. 👇
1. Mwanaume Anapenda Mwanamke anayejiheshimu. Hakuna mwanaume anavutiwa na mwanamke mwenye maneno, utani kupitiliza, nguo zinazomuonyesha na kuchonga mwili wake.
2. Mwanaume Anapenda Mwanamke ambaye ni Mvumilivu. Si kila siku mambo yanaenda vizuri. Ukipata Mvumilivu kwanini usioe?
3. Mwanaume Anapenda Mwanamke anayejari na Kuthamini
4. Mwanaume Anapenda Mwanamke Mwenye Mawazo Chanya (Future Vision). Kuna mahali naweza kushindwa. Nisaidie.
5. Mwanaume anapenda Kutodharauliwa. Enyi wanawake waheshimu waume zenu.
6. Mwanaume Anapenda Maamuzi yake yaheshimiwe. Unaweza kumshauri lakini heshimu maamuzi yake.
7. Mwanaume Anapenda Mwanamke anaye Rizika.
8. Mwanaume ni kichwa, anapenda kuwa juu. Mpe nafasi yake.
9. Mwanaume anapenda Kusikilizwa
10. Mwanaume yoyote hapendi Mwanamke anayejiona na anayejiskia. Kha! I kuna wanawake wanajiona wa gharama sana. Unapaswa kujipa thamani ila usijisikie.
Mwanamke Bora ni Yule anayejua Thamani ya Mwanaume na si yule anayejua Kipato cha Mwanaume.
#kelvinkibenje