data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,149
- 22,724
Poor research done na nyie wadada. Hii reseach inaonyesha jinsi mlivo. Wengi mnakimbilia vibraza men, mnavoviita vihandsome boy, viserenget boyz, vilamba lipstick, vibana sauti, yes no nyingi. Sijui hata kama vinawaridhisha kitandani? Vikiwachuna mnakuja kulalamika hapa, mlitegemea tuwaonee huruma? No one can benefit from his/her own mistakes.
Badilikeni, kwa nini usitafute mwanaume wa kweli? Mtaishia tu kulalamika na mabao mtapigwa.
well said....