Andie
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 713
- 1,636
Salaam wanajukwaa,
Kumekua na malalamiko mengi miongoni mwa wanawake kua siku za hivi karibuni kumekua na upungufu wa wanaume waaminifu, wapole na wenye upendo wa dhati.
Katika kujaribu kutafuta majawabu ya swali hili pia nimekua najiuliza vipi wanaume wanaweza kubaki kua waaminifu huku wanawake wakiongeza speed ya kudanga.
Hivi inawezekanaje wanaume wakabaki kua waaminifu huku wanawake wakitolea macho pochi tu.
Je, wanaume watabaki vipi wapole huku wanawake wakizidi kua mangangari 50 kwa 50?
Na je, wanaume watabaki vipi wachangamfu huku wakipigwa kejeli kua wao vibamia, wanaume suruali nk?
Kumekua na malalamiko mengi miongoni mwa wanawake kua siku za hivi karibuni kumekua na upungufu wa wanaume waaminifu, wapole na wenye upendo wa dhati.
Katika kujaribu kutafuta majawabu ya swali hili pia nimekua najiuliza vipi wanaume wanaweza kubaki kua waaminifu huku wanawake wakiongeza speed ya kudanga.
Hivi inawezekanaje wanaume wakabaki kua waaminifu huku wanawake wakitolea macho pochi tu.
Je, wanaume watabaki vipi wapole huku wanawake wakizidi kua mangangari 50 kwa 50?
Na je, wanaume watabaki vipi wachangamfu huku wakipigwa kejeli kua wao vibamia, wanaume suruali nk?