Rwekaxa Autonomy
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 460
- 492
Mkuu wew unamshrikisha mwenzio?Habari Wana jamvi,
Kwa wanaume mliooa naomba kuuliza ni kwanini haumshilikishi mkeo vyanzo vyako vya mapato?? Au ulikua unamshilikisha afu ukaacha why?
Ladies take note