1) Mungu ali design ndoa ni kwa ajili ya binadamu (
watoto wa Mungu)
2)
Masokwe hawakuamriwa wawaache wazazi wao waambatane na wake zao,
wala hawakuamriwa kuitawala dunia, wao ni wa kutawaliwa.
Hata hizo akili za kutawala viumbe wengine
hawana, hata akili za
kujitawala wenyewe hawana, wanategemea silika (instincts) akili kidogo walizopewa.
Wala hawakupewa sheria.
Wala hawajapewa nafasi ya
kuchanganua na
kuchagua.
Ndo hapo tunapoona tofuati kati yetu na yao sisi tuna uwezo wa
kuchagua na kukataa kufanya kitu,
kushawishi wengine wafanye kitu, wao hawana utashi / utambuzi huo.
3) Baada ya Adam na Eva kuasi, baadhi ya watoto wao wakaona masokwe wana enjoy sana vile hawana akili / utashi. Wakaamua kuwa kama
masokwe, lakini ni masokwe waliochangamka.
4) Basi ndo hawa wanaichafua taasisi ya ndoa inaonekana
namna gani vipi lakini ukweli ni kuwa noa ni kwaa ajili ya watoto wa Mungu wenye
Roho ya Mungu, wanaofuata
sheria za Mungu, na sio kwaa ajili ya masokwe wanaojiendea bila akili.