INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 1,726
- 15,761
Tatizo la bara unyasa mwing
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums
huyu ni wewe hongeraHabari waungwana :
Jamani naomba kuuliza hivi kwanini Wanaume wa Pwani wanajua sana mahaba tofauti na wale wanaume wa bara
Wanaume wa bara kwenye kuonga aswa kina ngosha wapo vizuri hatari ila kunako mahaba,, mmmh
Ila ukija kwa mahaba wanaume Wa pwani wapo njema. Tatizo la wanaume wa pwani Umalaya na uongoooo bwana, sijui kama wana mshindani katika ilo .
Mtani kwemaDuuh!
Kwema kabisa Mtani. Umemisika.Mtani kwema
Tarehe 8 ipi mtani, siku hizi hatuchangamani kwenye post kwa kuwa michezo imepigwa stop.Vipi wewe unapendelea pwani ama bara😊😊Kwema kabisa Mtani. Umemisika.
Yaaani yaliyotokea tarehe nane yamekufanya uadimike kabisa. 🤣
Vp familia haijambo?
Kweli aisee kauli ya katazo ikiisha najua tutachangamana tu.Tarehe 8 ipi mtani, siku hizi hatuchangamani kwenye post kwa kuwa michezo imepigwa stop.Vipi wewe unapendelea pwani ama bara😊😊
Sawa mtaniKweli aisee kauli ya katazo ikiisha najua tutachangamana tu.
Hahahaaa!!! Lol.