Neema za Allah zilemi sipendi mabonge ila napenda walio jajaa
Wanene ni rahisi sana kuogelea kwenye Mapaja, lkn vimbaumbau km una mkono wa mtoto ndo wenyewe wale! kibamia na kimbau wapi na wapi! lazima uogelee tu1!ni kweli wembamba wanapenda wanene mabaunsa wanapend vimbaumbau mimi ni mnene ila wastani kuvutia na vutia wengi ila mwishow a siku atakayekuoa ni mmoja tu maishani.