Arabian queen
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 2,557
- 4,824
- Thread starter
- #41
Hao wapwani wenyew skuizi wanaenda na wakat miongoni mwao pia ni wachache,,ktk 10 basi utakuta 5 tu ndo wanayajua hayo,,mie nipo umo ktk kundi la hao watanoSasa mpaka kuwatafuta kwa tochi ma miangaiko ya ki maisha tuliyo nayo si ukimpata ushazeeka!.
Wengi hata wale wa pwani haya mambo hawayajui kiivyo mpaka unashangaa,nishawahi kukutana na bint wa ki zenj maneno mengi nikajuwa hapa ndipo nnapopataka,lakini alikuwa mweupe kila department,udi tu ndio alichokuwa anakijua.