Malaya ni malaya iwe anauza au anatowa bure ni malaya tu.Lakin kitabu hakimaanishi Bitch aa in malaya wa kujiuza..
Anyways, naona sio topic ya leo
Mkuu usituhamishe, hapa tunazungumzia wanawake wenye matako makubwa na pia ni malaya kitandani.Mungu atusaidie tuu, mmehama kwa wenye matako makubwa mmehamia kwa malaya . Tutafka tu
Bad girl gone good........Ndio watamu....
Naweza kukutofautishia hapa hapa acha wenge
Hahahahahaa hapa haitanogaNaweza kukutofautishia hapa hapa acha wenge
Research yangu ndogo wanawake wengi wanapenda kwenda kwa waganga na as a result wanachopata hamna cha maana wanachofanya zaidi ya kununua nguo na luxurious stuffs,inakuwa kama zina laana hela zao pata references kwa mastar wabongo na wengine unaowajua then connect the dots.Hapa mtaani kuna madoni kama watatu.
Baada ya kujaribu kupata cv zao na wake zao nilishangaa sana. Doni wa kwanza alipata mke kwenye danguro na mpaka leo wapo pamoja.
Doni wa pili alipata mke ambaye ni kicheche mtaa mzima alipotoka kwao wamejishindia amri ya sita.
Doni wa tatu alipata mke baada mwanamke huyo kashaolewa na kuachwa bado kidogo kuharibu kitabu cha bakwata kwa jina lake kuandikwa sana.
Tuje hapa kwa sisi wanaume sitaki kuzungumza wenye pesa zao.
wingine humu wapenzi wenu na wake zenu mliwapenda kama hiki kitabu.
View attachment 1981015
Huko DM nitskukera buree