jay311
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 2,932
- 2,711
Rejea kichwa cha habari hapo juu!!!
Ukipita kwenye mitandao mingi ya kijamii,utagundua kuwa vijana wa kiume ndio wanaojitokeza zaidi kuomba mahusiano kwa kutumia mitandao hiyo,mfano hata humu JF,............Facebook,twitter na mitandao mingine chipukizi na unpopular pia... nakadhalika,nakadhalika.
-Kwa kweli sio kitu kibaya sana kutafuta RAFIKI au MPENZI kwa kutumia mitandao ya kijamii,na sio kuwa hakuna wanawake wanaotafuta nao kwa kutumia mitandao.LA HASHA idadi ya vijana wa kiume ni kubwa zaidi.
1)Je wanaume ni wengi zaidi katika kila aspects?
2) Wanaume ni jasiri zaidi kufanya hivyo?(kuomba uhusiano)
3)Je ni rahisi zaidi kutumia njia hizo kuliko njia zingine?
na pia kuna yatokanayo na hayo,ambayomwanaume mhusika anapaswa ajiulize
Je unaamini mahusiano ya kweli yanaweza kupatikana kwenye mitandao?na urafiki/uhusiano ukadumu?---ndio sikatai,inatokea kijana wa kiume akampata mweza kwenye njia hii lakini je ni wangapi kati ya 100 wanaofanikiwa ?
JE WEWE UMEGUNDUA NINI KUTOKANA NA IDANI KUBWA YA WANAUME KUTAFUTA URAFIKI AU MAHUSIANO KWA NJIA YA MITANDAO?
Ukipita kwenye mitandao mingi ya kijamii,utagundua kuwa vijana wa kiume ndio wanaojitokeza zaidi kuomba mahusiano kwa kutumia mitandao hiyo,mfano hata humu JF,............Facebook,twitter na mitandao mingine chipukizi na unpopular pia... nakadhalika,nakadhalika.
-Kwa kweli sio kitu kibaya sana kutafuta RAFIKI au MPENZI kwa kutumia mitandao ya kijamii,na sio kuwa hakuna wanawake wanaotafuta nao kwa kutumia mitandao.LA HASHA idadi ya vijana wa kiume ni kubwa zaidi.
1)Je wanaume ni wengi zaidi katika kila aspects?
2) Wanaume ni jasiri zaidi kufanya hivyo?(kuomba uhusiano)
3)Je ni rahisi zaidi kutumia njia hizo kuliko njia zingine?
na pia kuna yatokanayo na hayo,ambayomwanaume mhusika anapaswa ajiulize
Je unaamini mahusiano ya kweli yanaweza kupatikana kwenye mitandao?na urafiki/uhusiano ukadumu?---ndio sikatai,inatokea kijana wa kiume akampata mweza kwenye njia hii lakini je ni wangapi kati ya 100 wanaofanikiwa ?
JE WEWE UMEGUNDUA NINI KUTOKANA NA IDANI KUBWA YA WANAUME KUTAFUTA URAFIKI AU MAHUSIANO KWA NJIA YA MITANDAO?