Za Mende Panya
Member
- Nov 6, 2012
- 12
- 1
Kabisa...Mkuu, mbona wengine huwa wanaoana kabisa, ila itategemea na mtu utakayeanzisha nae uhusiano.
Vitu vingi vimeumbwa. Kumnufaisha mvulana.kwanza...then..msichana anafuata...ndio maana mvulana anaonekana mwanaharakat sana.kuliko msichana...angalIa hats watoa mada wengi. Niwavulana..kwa culture zetu za kibongo Demu. Ajafikilia level ya kuwa open Minded kiivo
Kwa wale niliowaona ni wachache wanaoishi mpaka sasa.na ndoa zinadum kabisa?