Kwanini wanaume tunakuwa wahanga wa kuomba uhusiano mtandaoni?

umenikumbusha mbali aisee....those were the days man! very genuine, very romantic......neno baby halikuwepo! Uki flow vizuri lyrics unaona dada anatazama chini, kidole gumba cha mguu kinachimba ndagu ndagu, au anauma kucha za mkononi....hapo kila mtu adrenaline inapanda.....deodorants hakuna....ni mchanganyiko wa harufu ya mafuta ya ayu na majasho ya kikwapa...hahahah....ma fake hayakuwepo ....

Mkuu kama nikuchagua nyakati, mie ningechagua enzi hizo...
Hahahaa what are you trying to say..
Teh kama ni mti majani yatachumwa mpaka mti uishe,lol
 
kweli mkuu, huwezi kabisa kulinganisha na magumashi ya sasa hivi.....imagine mmekaa sehemu romantic zinaanza distraction za simu...au mpo baa mabazazi mimacho kibao na kusumbua wahudumu wamuombe mdada namba ya simu, akinyanyuka tu kwenda msalani anakimbiliwa mpaka atoe namba....na akishaitoa tu...mijamaa hapo hapo inaanza kutuma meseji na kuleta ofa.....yani hahahahahah umjini mjini huu!!

hahahahaah na una bahati kama offer ziliwajia hapo hapo wengine humuhamisha na kiwanja fasta sana ............has zile joints zenye v.i.p na kwale wale speed 6000 unaondoka na meli ya hapo hapo!
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu!!!

Ukipita kwenye mitandao mingi ya kijamii,utagundua kuwa vijana wa kiume ndio wanaojitokeza zaidi kuomba mahusiano kwa kutumia mitandao hiyo,mfano hata humu JF,............Facebook,twitter na mitandao mingine chipukizi na unpopular pia... nakadhalika,nakadhalika.

-Kwa kweli sio kitu kibaya sana kutafuta RAFIKI au MPENZI kwa kutumia mitandao ya kijamii,na sio kuwa hakuna wanawake wanaotafuta nao kwa kutumia mitandao.LA HASHA idadi ya vijana wa kiume ni kubwa zaidi.

1)Je wanaume ni wengi zaidi katika kila aspects?

2) Wanaume ni jasiri zaidi kufanya hivyo?(kuomba uhusiano)

3)Je ni rahisi zaidi kutumia njia hizo kuliko njia zingine?


na pia kuna yatokanayo na hayo,ambayomwanaume mhusika anapaswa ajiulize

Je unaamini mahusiano ya kweli yanaweza kupatikana kwenye mitandao?na urafiki/uhusiano ukadumu?---ndio sikatai,inatokea kijana wa kiume akampata mweza kwenye njia hii lakini je ni wangapi kati ya 100 wanaofanikiwa ?

JE WEWE UMEGUNDUA NINI KUTOKANA NA IDANI KUBWA YA WANAUME KUTAFUTA URAFIKI AU MAHUSIANO KWA NJIA YA MITANDAO?
Tamaa za macho, pia kukosa ujasiri wa kumface mwanamke kwani kwenye mazingira yao wapo wanawake but wanaona aibu kuwaface ana kwa ana wameamua kutupa mawe ya mbali
 
usela nondo na ujinga kuufanya ujanja ndio chanzo cha yote. hapo mtaani kwako kuna mikutano inaitishwa na mwenyekiti wa mtaa hauendi, kuna mikutano ya injili shule ya msingi jirani na makazi yako mapya hausogei, mkutano wa kisiasa hautaki siasa, unapewa kadi ya mchango wa harusi unapotezea, vikao vya jumuiya kikristo (ikiwa ni dini yako), msibani kwenda hadi iwe mtu wa karibu, kipaimara jirani huendi mara pale utahitajika kufupa 10,000.
ukirudi kuotka kazini unawahi ghetto kusikiliza "dont bother", fid Q maana umenunua subuffer babkubwa, wenzako wakiandamana misafara ya lowassa, magufuli ukijitahidi sana kuchukua video kupitia simu yako.
tangu asubuhi hadi jioni rafiki zako unaocheka nao kupitia facebook, twitter, groups za watssap

kuandika barua mtandaoni kuomba wapenzi lazima ikuhusu
 
na bado wanafeel proud?
Mkuu tukubali tukatae,mapenzi ambayo mme au mke lzm muonane uso kwa uso mara nyingi ndiyo m kick pamoja yamepitwa na wakati

Dunia ya teknolojia imebadili preferences za mke au mme wa aina gani unataka!Mitandaoni ni rahisi zaidi kujua tabia ya mke au mme mtarajiwa!

Mfano ukiona msichana umempata hapa JF anaanza"mizinga"kabla hamjaonana achana nae;ni Gold Digger huyo
 
Mkuu tukubali tukatae,mapenzi ambayo mme au mke lzm muonane uso kwa uso mara nyingi ndiyo m kick pamoja yamepitwa na wakati

Dunia ya teknolojia imebadili preferences za mke au mme wa aina gani unataka!Mitandaoni ni rahisi zaidi kujua tabia ya mke au mme mtarajiwa!

Mfano ukiona msichana umempata hapa JF anaanza"mizinga"kabla hamjaonana achana nae;ni Gold Digger huyo

kaka jaribu kuwmweka ndani huyo wa mitandaoni uone kasheshe lake
 
usela nondo na ujinga kuufanya ujanja ndio chanzo cha yote. hapo mtaani kwako kuna mikutano inaitishwa na mwenyekiti wa mtaa hauendi, kuna mikutano ya injili shule ya msingi jirani na makazi yako mapya hausogei, mkutano wa kisiasa hautaki siasa, unapewa kadi ya mchango wa harusi unapotezea, vikao vya jumuiya kikristo (ikiwa ni dini yako), msibani kwenda hadi iwe mtu wa karibu, kipaimara jirani huendi mara pale utahitajika kufupa 10,000.
ukirudi kuotka kazini unawahi ghetto kusikiliza "dont bother", fid Q maana umenunua subuffer babkubwa, wenzako wakiandamana misafara ya lowassa, magufuli ukijitahidi sana kuchukua video kupitia simu yako.
tangu asubuhi hadi jioni rafiki zako unaocheka nao kupitia facebook, twitter, groups za watssap

kuandika barua mtandaoni kuomba wapenzi lazima ikuhusu

ni kweli aseeh kama hujichanganyi lazima utapitie kule kwenye love connect sasa maana hamna jinsi nyingine sasa
 
Tamaa za macho, pia kukosa ujasiri wa kumface mwanamke kwani kwenye mazingira yao wapo wanawake but wanaona aibu kuwaface ana kwa ana wameamua kutupa mawe ya mbali

kuna wengine isingekuwa mitandao wangekuwa single mpaka leo
 
sana tu yani unaweza hata ukatongoza ambaye sio type au size yakoo,,yaani kama ndoano unanasa tu samaki
Sitarudia kosa hilo kuna mdada nilichat nae mda mrefu, akawa akitamani tuonane, duuh nilipigwaa na butwaa nilipomwona laivu, kwani alikuwa mtu wa kujikweza sanaa, nilishangaa nilipokutana nae kumbe bonge la mshamba, mchafu hadi kinyaa, alikuja kafunga mikanga michafu hata staki kukumbuka, mpango mzima ni face to face na sio kitongozana mtandaoni wengine wanaweka sura fake
 
Sitarudia kosa hilo kuna mdada nilichat nae mda mrefu, akawa akitamani tuonane, duuh nilipigwaa na butwaa nilipomwona laivu, kwani alikuwa mtu wa kujikweza sanaa, nilishangaa nilipokutana nae kumbe bonge la mshamba, mchafu hadi kinyaa, alikuja kafunga mikanga michafu hata staki kukumbuka, mpango mzima ni face to face na sio kitongozana mtandaoni wengine wanaweka sura fake

eheh mi nilishawahi otea jimama fb,,,mapenz ya mtandao yaani u cant trust anyone jins anavyoonekana kwenye profile picture
 
Back
Top Bottom