yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,377
Dah! Umeowa mkee wako kila kitu unampaa na bado anakuzunguka. Umeolewa na unampa mumeo kila kitu na Bado anazunguka
Je, ni kuchokana au kutafuta ladha mpyaa au uwanja wa kila siku hauna raha?
JAMANI MKEE ANAUMAA
Wewe harusi na mahari umelipa watu wanakula free header
SEMA CHA MTUU KITAMU
Je, ni kuchokana au kutafuta ladha mpyaa au uwanja wa kila siku hauna raha?
JAMANI MKEE ANAUMAA
Wewe harusi na mahari umelipa watu wanakula free header
SEMA CHA MTUU KITAMU