dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 3,946
- 5,287
Natumaini muwazima wa afya njema,
Ni katika suala ambalo mwanamume analichukia kupita maelezo.
Mwanamume ukimgusa ama kumshika sehemu ya makalio hakika hamtoelewana kabisa.
Hata kama ni wanandoa, mke akitaka kukugusa nyuma mtagombana aisee.
Lakini mwanamke yeye akishikwa wala hamna tatizo lolote lile, anajiskia faraja tu.
Mimi mwenyewe binafsi sipendi kabisa, hata mke hawezi nigusa.
Sasa hili tatizo chanzo chake ninini , na nikwanini imetokea tunachukia kuguswa hiyo sehemu.
Ni katika suala ambalo mwanamume analichukia kupita maelezo.
Mwanamume ukimgusa ama kumshika sehemu ya makalio hakika hamtoelewana kabisa.
Hata kama ni wanandoa, mke akitaka kukugusa nyuma mtagombana aisee.
Lakini mwanamke yeye akishikwa wala hamna tatizo lolote lile, anajiskia faraja tu.
Mimi mwenyewe binafsi sipendi kabisa, hata mke hawezi nigusa.
Sasa hili tatizo chanzo chake ninini , na nikwanini imetokea tunachukia kuguswa hiyo sehemu.