BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,743
- 4,227
Kwa Utafiti wangu mdogo niliofanya naona awamu hii ya 5 wale wanaoisifia na kuipamba ni either viongozi wa nchi DC, RCs, DEDs, mawaziri au wanachama wa ccm tena wanaoishi kutegemea siasa, sijaona mwamko wa wananchi ww kawaida wakitoa sifa kwa serikali yao!
Hapa ninachokiona ni kuwa serikali hii ya chini ya JIWE inajitahidi kufanya mambo makubwa ikiwemo miradi mikubwa ila imewasahau wananchi wa kawaida wanaozidi kuwa masikini wa kutupwa!
Ukiangalia tatizo la ajira linazidi kukua Kila mwaka, vijana wanamaliza vyuo bila kuajiriwa, sekta binafsi hali ni mbaya Kila cku biashara zinafungwa na wafanyakazi wanapunguzwa kazi!
Hapa ninachokiona ni kuwa serikali hii ya chini ya JIWE inajitahidi kufanya mambo makubwa ikiwemo miradi mikubwa ila imewasahau wananchi wa kawaida wanaozidi kuwa masikini wa kutupwa!
Ukiangalia tatizo la ajira linazidi kukua Kila mwaka, vijana wanamaliza vyuo bila kuajiriwa, sekta binafsi hali ni mbaya Kila cku biashara zinafungwa na wafanyakazi wanapunguzwa kazi!