ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,074
- 42,852
Mimi nilitegemea kwamba wanaofaulu kwa viwango vya juu ndio wanaopaswa Kuwa na sifa za kuwafundisha wengine tofauti na hivyo anayepata div four ndio anakwenda Kuwa mwalimu.
Je, yeye mwenyewe uwezo wake binafsi una fit kweli kuwapatia watoto wenu taaluma.
Kwa nilivyofikiria nimeona serikali inafanya hivyo kwa Kuwa wanaofaulu bado ni wachache so wanalazimisha ili mradi walimu wapatikane watoshe.
Nataka kujua kwa nchi nyingine Kama Kenya,Ghana,SA, India,Pakistan n.k utaratibu wao vigezo vya Kusomea vyuo vya ualimu vipoje?
Je, yeye mwenyewe uwezo wake binafsi una fit kweli kuwapatia watoto wenu taaluma.
Kwa nilivyofikiria nimeona serikali inafanya hivyo kwa Kuwa wanaofaulu bado ni wachache so wanalazimisha ili mradi walimu wapatikane watoshe.
Nataka kujua kwa nchi nyingine Kama Kenya,Ghana,SA, India,Pakistan n.k utaratibu wao vigezo vya Kusomea vyuo vya ualimu vipoje?