Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Acha kuficha wewe mimi mwenyewe nataka kusilimu kuwa shia kama unaogopa ogopa utanifanya nihisi kuwa shia ni sawa nakuwa shoga hapa bongo inabidi ujifiche fiche.Mimi siangalii ni nani aliyesema, mimi naangalia ukweli tu, hata kama mkristo ataonyesha ukweli mimi nitaupokea tu, hao Mashia wameonyesha ukweli tena kutoka ndani ya Qur'an kitabu cha Allah, je niwapinge?!!!--- nikiwapinga hapo mimi nitakuwa mwehu.
Anyways hiyo aya Haijasema kuwa Allah aliitunga Quran..limeeleza tu kuwa imetoka kwa Allah.
"or do they say he has forged it?Nay,It is the truth from the Lord"
" wanasema hiyo pete umeitengeneza?,No ni urembo kutoka kwangu"
Sasa hapa hii statement inacomfirm vitu viwili
1. hiyo pete siyo yako wala hujaitengeneza
2.Pete imetoka kwangu.
Lakini haisemi chochote kuhusu mimi; haisemi kama hiyo pete nimeitengeneza au nimeinunua au nimeiazima ndiyo nikakupa wewe
Sent using Jamii Forums mobile app