Kwanini Wanaomkana Mungu husisitiza ya kuwa Mwenyezi Mungu ni matokeo ya fikra za Mwanadamu?

Tukimwabudu yeye anapata faida gani?


Tukimuabudu Mungu, Yeye anapata furaha na tusipomuabudu anaghadhibika, furaha yake ni faida kubwa sana kwetu, hivyo ndivyo Mungu alivyopanga kulingana na hekima yake na sisi ni viumbe wake.
 
Tukimwabudu yeye anapata faida gani?
Ukimlipia mwanao ada kwenye shule ya kifahari akawa akienda mtaani anasifia uwepo wako kwenye maisha yake unapata faida gani? Na endapo ukifanya hivyo halafu mtoto asitambue uwepo wako kwenye maisha yake utapoteza nn?

Kiimani tuliumbwa kwa mfano wa MUNGU. Hayo majibu kama unayo yanaweza kukupa picha ya umuhimu wa kuabudu.
 
Hakuna binadamu atakaedai imani yake ni ya kweli, Mungu wa kweli bado hajafahamika kwa binadamu. Madhehebu yote ni ugunduzi wa binadamu wakiwa na sababu zao hasa biashara. Subiri nyakati za mwisho utamuona Mungu wa kweli, endelea na matendo mema. Ujue maisha ni mchezo hivyo ukifunga macho kwa kusali utashindwa kufunga hata goli moja la maisha
 
Haya madai huwa nayasikia sana kutoka kwa hawa jamaa.

Sasa nina maswali kwao.

Je kwanini wamefikia hatua ya kudai ya kuwa Mola muumba ni matokeo ya fikra za mwanadamu kutokana na uoga, hofu ya kifo na hofu juu ya kile kisichojulikana ?

Je wanaweza kuthibitisha juu ya madai yao haya ?
O
Wajuzi karibuni mtupe faida.
We tuthibitishe kuwa mungu yuko..... mmebaki kutishia watu na moto wanmilele sijui nn na nn imani ni matokeo ya fikra zisizo na majibu mumeshindwa kutuambia piramidi za misri pale giza zimejingwaje mnaleta ila mnajifanya mwamjua Mungu
 
We tuthibitishe kuwa mungu yuko..... mmebaki kutishia watu na moto wanmilele sijui nn na nn imani ni matokeo ya fikra zisizo na majibu mumeshindwa kutuambia piramidi za misri pale giza zimejingwaje mnaleta ila mnajifanya mwamjua Mungu
Poa.
 
Imeandikwa akika mtakufa na kweli hajawahi kupinga Mtui hilo andiko maanake kua kitu kimeshikilia nakinasimamia hill andiko
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom